Vijana mmeona chakula cha role model wenu? CR7

Vijana mmeona chakula cha role model wenu? CR7

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,039
Vijana mmeona chakula cha role model wenu?

Ronaldo amepost chakula chake kinachomfanya awe hivi mnavyomuona?

Sasa igeni na hii!

Screenshot 2025-08-20 013711.png
 
Rais Dr.Kenneth Kaunda wa Zambia alikuwa vegetarian na kwa sehemu kubwa mlo wake simple kabisaa. Hata Julius Nyerere msosi wake simple mnooo:uji kwa mihogo, au chai maziwa kwa mihogo.

Sasa kutana na mimi wa kipato cha buku 7 ya Lumumba kwa siku. Nalazimisha kufakamia supu, chipsi, salty drinks, na pombe za bei kali.
 
Back
Top Bottom