Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Mambo vipi wadau ishuvipi lakini.....Daaa wacha niulize kaswali kangu hapa.......Then hili swali nadhani linatuzunguka jamii wote kwaujumla pia nimeona kama desturi fulani au ndio mila au ndio watu wanakwenda wakati........Hivi kwa nini vijana wa sasa hivi wanapenda sana kutongoza mimama na pia kwa nini mimama na yenyewe inapenda sana vijana??nadhani ukiangalia wamepishana zaidi ya miaka 20 alafu wanapendana sasa hiyo tuite kwenda na wakati au ndio raha zenyewe hizi??Maana hichi kitu badokidogo kinanichanganya sana sasainabidi tufahamishane maana kama kuna raha ya ziada na sisi tuanze kunyemelea maana sasahivi kila mtu anamkamata wake sasa hapo sijui inakuwaje kwanza..Wadau wenye info tuwekeeni hapa tuchangie na tufahamu basi