The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Ndio mkuuBaada ya Mambo yako kwenye construction sector kwenda vizuri,,umeamua kuwa chawa
Ndio mkuuBaada ya Mambo yako kwenye construction sector kwenda vizuri,,umeamua kuwa chawa
Huyo mkurugenzi atakuwa na mtu wake uko TAMISEMI, sio kila mkurugenzi ana connection never, afu Kuna na kuliwa piaConnection zipo sana tu,Mimi nimekosa hela tu.Tena ni mkurugenzi halmashauri ya au basi!....aliomba 1M.na ajira zilizopita alimfanyia Mwl mwenzetu was kisw na engl akapata.yule Mwl amenisihi sana nitafute hata nusu yake ambembeleze ili nikipata ntamalizia.kwa kuwa sina hiyo pesa naamini Hakuna connection!ngoja niache ujinga.
Husingemtaja jina, lkn na yeye anajigamba wakat majina
Unajichanganya Naona Just Relax MzeeMasomo gani na amegraduate mwaka gani
Kunywa majiUnajichanganya Naona Just Relax Mzee
Wanapunguza na kuongezakwaiyo tamisemi hayo majina mpk sasa wanayafanyia nini, si watoe tu
Wait Hadi 24/06kwaiyo tamisemi hayo majina mpk sasa wanayafanyia nini, si watoe tu
Wait Hadi 24/06 haitafika huko watu wataripoti kabla ya tarehe moja july 2022
Waache kuropoka maana PDF hadi mwezi wa 12.Subirini pdf acheni kuropoka
24Waache kuropoka maana PDF hadi mwezi wa 12.
Vijana mmevurugwaaaaa19/26
ndo niniFikirieni kidogo..bajeti kuu itapita mwezi wa saba..mtao chaguliwa tayari mtakua kwenye mahesabu ya mishahara nk.. huu mwezi unaeza isha bila majibu au yanaeza tokea mwishoni mwa mwezi huu ila mtaopata wa saba muende huko vijijini kwenu na mtahesabiwa hukohuko hata shule zikifungwa ili mkazoee mazingira kabisa.
Ngoja waweke UVCCMHawataki kutoa ajira
Hi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.
Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.
Badirika
HaaaaWazo zuri Sana mtaalam,Ila baadhi ya watu ni wabishi.watapinga hili.