Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,484
- 11,282
- Thread starter
- #301
Kwamba wamecheleweshaAu walikua hawajajipanga nini
Kwamba wamecheleweshaAu walikua hawajajipanga nini
Alitoa hela au ndugu yake alikuwa uko Tamisemi jikoniConnection zipo uhakika asilimia mia , kuna jamaa yangu ni mnufaika wa hiyo connection
Sasa kazi ya chawa sio connection bali kutangaza mafanikio ya mama..Ameona we Ni chawa wa SSH anadhani una connection [emoji2]
Wanadhani wewe Ni boss mkubwa, kumbe kajamba naneSasa kazi ya chawa sio connection bali kutangaza mafanikio ya mama..
Mwingine alinipa taarifa za ufisadi kwenye taasisi fulani [emoji51][emoji51]
Fala wewe,mimi sio boss kubwa wala sio kajamba nani...Wanadhani wewe Ni boss mkubwa, kumbe kajamba nane
Hahaha mmegeukanaFala wewe,mimi sio boss kubwa wala sio kajamba nani...
Hakunaga connection ya kwenye mitandao na Kwa mtu usiyemfahamu..
Nilitaka kufanyia connection naweza ila siwezi fanya kwa mtu usiyemfahamu..
Eti unaenda kwenye mtandao kama hivi unasema naomba connection,una kichaa?
Acha upopoma, majina yalikuwa tayari, kitambo izo connection wape wadogo zakoFala wewe,mimi sio boss kubwa wala sio kajamba nani...
Hakunaga connection ya kwenye mitandao na Kwa mtu usiyemfahamu..
Nilitaka kufanyia connection naweza ila siwezi fanya kwa mtu usiyemfahamu..
Eti unaenda kwenye mtandao kama hivi unasema naomba connection,una kichaa?
Waambie wawe machawa watapata ajiraThe tichaz unakosaje connection jmn
Majina gani tena? Endelea kusugua na kupiga miayoAcha upopoma, majina yalikuwa tayari, kitambo izo connection wape wadogo zako
PoleeeMajina gani tena? Endelea kusugua na kupiga miayo
Si amekuona chawa kweli kweliKuna mmja kanifuata inbox inaomba connection,nikaishia kumshangaa tuu..
Bora umewachana live
ngoja tuoneKuna mshikaji Wangu Anaitwa Samuel Amenihakikishia Kabisa Kwa Kuapa Kuwa Home Kwao Washampigia Pasi Ajira Hizi, Nipo Hapa Naweka Na Alama ..................! Ajira Zikitoka Akiwemo Nitaamini Kuwa Kweli Haya Mambo Yana Connection.
Husingemtaja jina, lkn na yeye anajigamba wakat majina badoKuna mshikaji Wangu Anaitwa Samuel Amenihakikishia Kabisa Kwa Kuapa Kuwa Home Kwao Washampigia Pasi Ajira Hizi, Nipo Hapa Naweka Na Alama ..................! Ajira Zikitoka Akiwemo Nitaamini Kuwa Kweli Haya Mambo Yana Connection.
Masomo gani na amegraduate mwaka ganiKuna mshikaji Wangu Anaitwa Samuel Amenihakikishia Kabisa Kwa Kuapa Kuwa Home Kwao Washampigia Pasi Ajira Hizi, Nipo Hapa Naweka Na Alama ..................! Ajira Zikitoka Akiwemo Nitaamini Kuwa Kweli Haya Mambo Yana Connection.
Sasa hapa si ndio utamchoma mkuu.Masomo gani na amegraduate mwaka gani
Ndio ni chawa kweli kweli hujakoseaSi amekuona chawa kweli kweli
Ila kweli, but lengo langu Ni kuwa Kama ana Science subject, anaweza pata afu akadhani connection ndo imemuokoaSasa hapa si ndio utamchoma mkuu.
Maana jamaa ameshakuambia kua anaitwa samwel.
Ina maana akikutajia mwaka na kozi aliyomaliza..jamaa atakua easy identified.
Baada ya Mambo yako kwenye construction sector kwenda vizuri,,umeamua kuwa chawaNdio ni chawa kweli kweli hujakosea