Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 863
- 1,000
Bro ivi unataka kunambia huko wanakuchagua kwa kuwa umepitia maisha magum kitaa?Halafu pia mimi niongee ukweli niachage unafki hata ningekuwa mimi nisingeweza kumuacha 2015 nikuchukue wewe 2021 nalifahamu struggle la kitaa lilivyo
Umemaliza shule juzi tu hapa mwezi wa kumi unataka uwe sawa na wenzako how special you are ?
Bora zingekuwa kada nyengine ila walimu muache na ubishi wake
Vp kama kwao.mambo safi halafu wa 2015 unakula bata huwazi kitaa jee wanalielewa hilo?
Au ndo kusema kwa kuwa ni wa muda mrefu basi kapigika tu?