Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,210
- 3,015
- Thread starter
- #281
Afu mwenye connection ya kweli ata hela hakuombiMwenye connection huwa hangaiki huyo alikuwa mlevi
Afu mwenye connection ya kweli ata hela hakuombiMwenye connection huwa hangaiki huyo alikuwa mlevi
huwez kuwa raisi wa TZ Kama raisi anayeondoka hajaridhiaHadi ikulu kuna Connection sembuse huko Tamisemi
Mwaka 2020 Kuna mdada alitoa 1m akapta ajira, mwaka 2021 akawatonya wenzake wawili wakakopa na kutoa 1m, kilichowakuta wote walikosa, Ila nasikia connection zipo CCM na bungeniMimi kuna mshikaji ni daktari akaniambia ana mtu wake wizara ya Elimu so connection laki 5 lakin nalipa laki 2 kwanza laki 3 nikienda kulipoti kituoni namalizia..nikamwambia fresh nitakupa nilimuamini kwasababu namuonaga sana anapiga picha na kina ummy mwalimu , shemdoe na viongozi wengi so nilimuamini nilishtuka kwamba naweza pigwa na kitu kizito kwasababu alikua ananisumbua sana kila sekunde anapiga simu nikamwambia sijapata akasema kopa basi akaendelea kunisumbua nikawa sipokei simu zake baadae nikamwambia nimekosa hela..akakasilika mwenyewe eti nimemsumbua bure yan alikua anamzuka ananishinda hadi ninaetaka connection
Mwaka 2020 Kuna mdada alitoa 1m akapta ajira, mwaka 2021 akawatonya wenzake wawili wakakopa na kutoa 1m, kilichowakuta wote walikosa, Ila nasikia connection zipo CCM na bungeni
Hii Ni ya 2020Sasa mboni unajipinga jamani
Wenye connection zenuWewe ndiye huna koneksheni. Ila zipo
Ukhty zakia usiogope jina lipo labda waamue kuwakatili 2021Sasa mboni unajipinga jamani
PointMnapojadili msichanganye connection na Rushwa. Connection inaweza kuwepo bila Rushwa. Unapozungumzia connection unapaswa kufahamu ilikuwepo, ipo na itakuwepo milele na milele. Vitabu vyotee vya dini tunazoamini connection zimo za kutosha. Wapo wanafunzi wa Yesu walipata mchongo huo kwa connection na wapo waliopata miujiza kwa connection. Leo ni vipi hiyo kitu isiwepo!!
Kuhusu Rushwa, nayo hauwezi kusema et haipo mahali fulani, ukiwaza hivyo ujue hauna taarifa za kutosha. Rushwa itakoma kama matabaka yatakoma na ikiwa shida za watu wotee zitakwisha kitu ambacho hakiwezekani.
Ukhty zakia usiogope jina lipo labda waamue kuwakatili 2021
Sijakupinga nimesema mliomaliza hivi karibuni kama nyie 2021 msijipe matumaini sana kupitiliza msije mkaumiaSi ulinipinga wewe lkn sitapata
Sijakupinga nimesema mliomaliza hivi karibuni kama nyie 2021 msijipe matumaini sana kupitiliza msije mkaumia
Ungekuwa na Connection ingekuwa magoli zaidi japo kupata bila connection kupo pia
Ukipata usisahau kuchinja kuku hapo nyumbani maana kila ilivyo mama huko mbeleni baadaye atawaboreshea maslahi yenu
2021 physics wameulaSijakupinga nimesema mliomaliza hivi karibuni kama nyie 2021 msijipe matumaini sana kupitiliza msije mkaumia
Ungekuwa na Connection ingekuwa magoli zaidi japo kupata bila connection kupo pia
Ukipata usisahau kuchinja kuku hapo nyumbani maana kila ilivyo mama huko mbeleni baadaye atawaboreshea maslahi yenu
Nani alikuwa mwanafunzi wa Yesu kwa connection?Mnapojadili msichanganye connection na Rushwa. Connection inaweza kuwepo bila Rushwa. Unapozungumzia connection unapaswa kufahamu ilikuwepo, ipo na itakuwepo milele na milele. Vitabu vyotee vya dini tunazoamini connection zimo za kutosha. Wapo wanafunzi wa Yesu walipata mchongo huo kwa connection na wapo waliopata miujiza kwa connection. Leo ni vipi hiyo kitu isiwepo!!
Kuhusu Rushwa, nayo hauwezi kusema et haipo mahali fulani, ukiwaza hivyo ujue hauna taarifa za kutosha. Rushwa itakoma kama matabaka yatakoma na ikiwa shida za watu wotee zitakwisha kitu ambacho hakiwezekani.
Kuna mmja kanifuata inbox inaomba connection,nikaishia kumshangaa tuu..Hi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.
Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.
Badirika
Ameona we Ni chawa wa SSH anadhani una connectionKuna mmja kanifuata inbox inaomba connection,nikaishia kumshangaa tuu..
Bora umewachana live