Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Huu mkeka una balaa sanaa hadi sasa bila bilaa. Ila inavyoonekana degree wameula kuliko certificate na diploma kwa TAARIFA za chinchini huko kichikani. PDF inashushwa soon certificate tunapumulia mitambo [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Huu mkeka una balaa sanaa hadi sasa bila bilaa. Ila inavyoonekana degree wameula kuliko certificate na diploma kwa TAARIFA za chinchini huko kichikani. PDF inashushwa soon certificate tunapumulia mitambo [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Certificate na Diploma za Education inabidi zifutwe tuwe Kama Ulaya, Mwalimu yeyote ata wa kindergarten awe na bachelor
 
Huu mkeka una balaa sanaa hadi sasa bila bilaa. Ila inavyoonekana degree wameula kuliko certificate na diploma kwa TAARIFA za chinchini huko kichikani. PDF inashushwa soon certificate tunapumulia mitambo [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Muanze sasa kuandaa nauli za kwenda Nanjilinji
 
Jamaa kaamua kusema ukweli mara baada ya kuwazingua vijana wasisake connection na sasa dirisha la connection inawezekana limefungwa.
hamna cha kusema ukweli uyo ana akaunt mbili anakua anazitumia kukoment kwenye uzi wake mwenyewe sasa kasahau kulog aut ili atumie akaunt nyngne kukoment
 
hamna cha kusema ukweli uyo ana akaunt mbili anakua anazitumia kukoment kwenye uzi wake mwenyewe sasa kasahau kulog aut ili atumie akaunt nyngne kukoment
Not easy folks,,mie ndo mwenye Uzi afu niswitch account
 
Jamaa kaamua kusema ukweli mara baada ya kuwazingua vijana wasisake connection na sasa dirisha la connection inawezekana limefungwa.
Yaaani Mimi nizuie watu kutoa hela zao pole
 
Back
Top Bottom