Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
- Thread starter
- #21
Pesa ya kulea hao watoto unayo lakini au ndo utakuwa unamwacha mwenzio akaombe matambara kwa jirani?Hapo njia ni moja tu nikupiga mimba kila wkt hawezi badilika anakuwa busy na kulea kila baada ya mwaka mmoja na nusu napiga mimba ingine lengo kumfanya busy na kulea hata saloon atakuwa anasahau kwenda
Alafu kuna kutoa ujue. . .akishajanjaruka hatokubali kuzaa kila kukicha.