Vigezo. . .

Vigezo. . .

b) Miss independent (Miss Jeuri. .sio mjeuri). . .maana sio tegemezi kifedha, kihisia wala kifikra.
1. Uwe mwanaume kamili. . .hataki tabu.
2. Kichwani kuwe na kitu cha maana. . .
3. Muonekano wa kumridhisha (yaweza kuwa vyovyote) . . .
4. Uwe na heshima kwake. . .
5. Usiwe mgomvi
6. Uwe mwaminifu
7. Uwe tayari kukosolewa/kuwekwa sawa.
8. Uwe na maisha yanayoeleweka.
9. Uwe mwelewa.
10. Uwe safi kitandani.
11. Uwe msikilizaji mzuri.

..katika hizi sifa mh....
 
Erotica walau umecheka.
Embu nisaidie kuongeza vigezo pale kati. . .lolz

Deep down I am a simple gal... teh teh teh.

Nikisema SEX ndio kigezo pekee itakua uongo, mana hatuwezi kula sex wala kuwalisha

watoto sex. SEX sasa ni kwa ajili ya kujifurahisha as long as u play it safe with rubber

then u enjoy the sex fun. Siku ya mwisho nataka mwanaume naweza jikabidhi kwake bila 2ns thought like that!
 
Hahahaha. . basi mimi napenda kuvalishwa na kuvuliwa viatu. . .lolz

Role model? I don't have any. . .
Who is yours?

Haya bana pumzika kama tumefikia muafaka kwamba sisi wanaume ndo funguo na nyie ndo vitasa no matter goup ya muhusika na kila kitasa kina funguo yake BUT kuna master keys na hakuna kitasa universal ukiona kila funguo inafungua hiyo kitasa jua kwisha habari hapo tafuta komeo mbadala

My role model.............sina bana ila napenda vitu fulani ambavyo si rahisi kuvikuta kwa mtu mmoja
 
[COLOR=#ff0000 said:
Erotica[/COLOR];3874681]Deep down I am a simple gal... teh teh teh.

Nikisema SEX ndio kigezo pekee itakua uongo, mana hatuwezi kula sex wala kuwalisha

watoto sex. SEX sasa ni kwa ajili ya kujifurahisha as long as u play it safe with rubber

then u enjoy the sex fun. Siku ya mwisho nataka mwanaume naweza jikabidhi kwake bila 2ns thought like that!

You real mean biziness
 
Haya bana pumzika kama tumefikia muafaka kwamba sisi wanaume ndo funguo na nyie ndo vitasa no matter goup ya muhusika na kila kitasa kina funguo yake BUT kuna master keys na hakuna kitasa universal ukiona kila funguo inafungua hiyo kitasa jua kwisha habari hapo tafuta komeo mbadala

My role model.............sina bana ila napenda vitu fulani ambavyo si rahisi kuvikuta kwa mtu mmoja

Master key? I think NOT. Hiyo nadhani ndo ile "mwanaume anaweza akampata mwanamke yeyote yule". . mimi bado kuona na kukubaliana na hilo. Unless ofcourse nyie mwafanana kwa kila kitu na kila namna which I highly doubt.

Hehehe. . .wewe kwanini huna?!Nidokeze na hivyo vitu.
 
Deep down I am a simple gal... teh teh teh.

Nikisema SEX ndio kigezo pekee itakua uongo, mana hatuwezi kula sex wala kuwalisha

watoto sex. SEX sasa ni kwa ajili ya kujifurahisha as long as u play it safe with rubber

then u enjoy the sex fun. Siku ya mwisho nataka mwanaume naweza jikabidhi kwake bila 2ns thought like that!

Hehehe. . . hivi nao wanafikiria na kujali watoto kumbe? Lolz. . .nakuchokoza tu bana. . .
 
Miss desperate for life!

Ila Lizzy ndo maana unamwagiwa tindikali, ukorofi huu.

Lakini ile sehemu B (10) kumbe nayo ni muhimu hata kwa independents? Kuna moja hata kusema naogopa maana Lizzy ameielezea vizuri...yaani ni ile style ya kujidondosha ili refa akupe penalty hata kama hakuna rafu
 
Lakini ile sehemu B (10) kumbe nayo ni muhimu hata kwa independents? Kuna moja hata kusema naogopa maana Lizzy ameielezea vizuri...yaani ni ile style ya kujidondosha ili refa akupe penalty hata kama hakuna rafu
@Ndahani lipi hilo ?Funguka bana.
 
Master key? I think NOT. Hiyo nadhani ndo ile "mwanaume anaweza akampata mwanamke yeyote yule". . mimi bado kuona na kukubaliana na hilo. Unless ofcourse nyie mwafanana kwa kila kitu na kila namna which I highly doubt.

Hehehe. . .wewe kwanini huna?!Nidokeze na hivyo vitu.

Hayaaaa kama bado kujua.....well anzisha uzi ili tupate na maoni ya wadau wengine hapa then itafahamika tuu

Vitu ni kama
Kujali familia, a prepared mind, respect kwa human dignity, low lying
 
Hahahahaha. . . Yummy basi 'Miss I don't care'
Yeye kuolewa is an option, nothing more and nothing less.. . hata asipopata mwanaume wakumpenda vile vile hajali.

Hapo vipi?

Hapo SAWAAAAAAA.......yani umenigusaaaa sinilikwambia ww hubahatishi banaa daah ngoja nikupatie kaka yangu.
 
Lizzy Lizzy.....................Unaanza tena??? Uko tayari kukesha hapa?????
Hehehehehe
Kama.we uko tayari na mie niko tayari. . .

Hilo.lingine tutalitafutia muda.
 
Hapo SAWAAAAAAA.......yani umenigusaaaa sinilikwambia ww hubahatishi banaa daah ngoja nikupatie kaka yangu.

Hahahaha. . Yummy unataka kuniongezea? Hapa nlipo nna wakaka wawili, usije tu ukaniharibia kwa 'waliopo'.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo kuwa INDEPENDENT = kuwa DESPERATE?!
I think NOT.

Nnavyojua mimi ni kwamba kwa kiasi.kikubwa wanajua wanachokitaka/hitaji na namna pekee ni kuwa hicho wanachokitaka/hitaji. Hayo mapenzi ya kufunguliana mlango kama fasheni ni ya watoto na watu wazima wanaoact kama watoto, hayo ya kuhadithiwa kwa mashost ni kwa wale waliokosa kazi.

Wapi Nyani Ngabu uje kutuelezea habari ya kufunguliana mlango,we si ndo mtaalamu mwenyewe......lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha. . Yummy unataka kuniongezea? Hapa nlipo nna wakaka wawili, usije tu ukaniharibia kwa 'waliopo'.

Nitapataje ukaribu na ww kama sio kukupatia kaka yangu jamani!ebu we sema.....kama vp nipe babako tukate mzizi wa fitna
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom