Kiwanda cha mchele

Kiwanda cha mchele

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,435
Reaction score
1,621
Habari Tanzania !...

Kwanini hatuna kiwanda cha kuchakata mpunga kuwa mchele yaani ile Heavy Rice Mill ambazo aidha ziwe kikanda au kimikoa. Hapa nachochea hali ya kuwa na uwezo wa soko kubwa na upatikanaji wa bidhaa kirahisi na bei za mchele uwe kitonga.

1. Ajira za moja kwa moja zitakuwa nyingi sana.
2. Soko la mchele litakuwa kubwa sana.
3. TRA na Halmashauri mtapiga hela mpaka mchanganyikiwe.
4. SUA mtakimbiliwa na watu kwa huduma ya mafunzo ya muda mfupi nyie.

NB
Hii nchi haya bwana.
 
Nakumbuka Magufuli alifungua kiwanda cha hivi kule Mbeya, mmiliki akiwa ni kijana mdogo tu
Hayo mambo ndio yanayotakiwa.

Hii nchi wakulima ni 80 (Viongozi wa nchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Wananchi wa kawaida). Cha ajabu hakuna mchocheo wowote eti.
 
Hayo mambo ndio yanayotakiwa.

Hii nchi wakulima ni 80 (Viongozi wa nchi, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Wananchi wa kawaida). Cha ajabu hakuna mchocheo wowote eti.
Tanzania ya viwanda inawezekana, kama tulivyoweza kwenye SGR kwa kuwa na treni nzuri, za uhakika na nauli rafiki kabisa, ya chini kuliko mabasi, tunaweza kuwa serious kwenye shirika la ndege, nauli zikawa zinazokidhi uhalisia wa watanzania, tukawa na mwendokasi za uhakika kama hizi zilizopo sasa, na huduma iwe inatolewa kwa wakati. SGR ndio iwe shirika la mfano (model)
 
Processing plants zipo za kutosha na za kisasa sana tembelea Lohumbo/Didia, Kagongwa-Shinyanga, Ifakara ndio utajua ni kwa kiasi gani watu wanapushi mchele kimataifa.

Halmashauri wanavuna sana maokoto hata sasa. Tatizo ni uchepushaji wa ushuru huo kwenda kwenye mifuko ya watu binafsi.

Cha kupigania ni viwanda vya nyama na maziwa katika mikoa ya wafugaji kama Shinyanga, Mara, Kagera, Katavi, Ruvuma na Tabora ili nyama, maziwa na ngozi ziende nje.
 
Processing plants zipo za kutosha na za kisasa sana tembelea Lohumbo/Didia, Kagongwa-Shinyanga, Ifakara ndio utajua ni kwa kiasi gani watu wanapushi mchele kimataifa.

Halmashauri wanavuna sana maokoto hata sasa. Tatizo ni uchepushaji wa ushuru huo kwenda kwenye mifuko ya watu binafsi.

Cha kupigania ni viwanda vya nyama na maziwa katika mikoa ya wafugaji kama Shinyanga, Mara, Kagera, Katavi, Ruvuma na Tabora ili nyama, maziwa na ngozi ziende nje.
Hizo mashine ni zakawaida sana. Bongo hii hakuna hizo Heavy Duty Rice Mill brother. Zilizopo nyingi haziwezi kuhudumia hata tani 5 mpaka 10 kwa siku. Mimi nazungumzia ni heavy weight machine brother hapa bongo.
 
Habari Tanzania !...

Kwanini hatuna kiwanda cha kuchakata mpunga kuwa mchele yaani ile Heavy Rice Mill ambazo aidha ziwe kikanda au kimikoa. Hapa nachochea hali ya kuwa na uwezo wa soko kubwa na upatikanaji wa bidhaa kirahisi na bei za mchele uwe kitonga.

1. Ajira za moja kwa moja zitakuwa nyingi sana.
2. Soko la mchele litakuwa kubwa sana.
3. TRA na Halmashauri mtapiga hela mpaka mchanganyikiwe.
4. SUA mtakimbiliwa na watu kwa huduma ya mafunzo ya muda mfupi nyie.

NB
Hii nchi haya bwana.
Fursa hio ifanyie kazi.
 
Back
Top Bottom