donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,076
- 21,551
Wakuu ambao mko around maeneo ya mikocheni, mni-pm niwape free password ya WiFi ya Regency Hotel. Unaenda unakaa pale chini unazuga na hata maji madogo kumbe unashusha mzigo wa maana ukitoka umetoka na faida. Au nafanya makosa watanzania wenzangu?