Samahani hii huduma iko mikoani. Na inagharimu shilijngi ngapi. Pia nguvu ya internet yakeNdo hizo hizo mkuu. Hizo waya lakini ni kutoka Dslam kwenda kwa mteja, As long as Backbone yao ipo vizuri wewe unaletewa waya wako mpya. Pengine huo uliokatika ni wa Mteja wa Zamani sana.
Ipo mikoani ndio lakini miji ya zamani ambayo hii miundombinu ipo. Kama zipo zile nguzo za simu kuna possibility kubwa nayo ikawepo.Samahani hii huduma iko mikoani. Na inagharimu shilijngi ngapi. Pia nguvu ya internet yake
Zilikuwa ni CDMAPengine mkuu ikawa ni ya CDMA, hii ilishafungwa. Ila kama ni Adsl bado ipo, ila adsl inahitaji waya toka kwenye nguzo.
Cdma zenyewe zilitumia minara ya simu ila wote TTCL na Zantel walifunga mitambo tayari.
Au mnataka kuweka tozo kwenye lipa??Kwanini mnatumia hii huduma ya 'Lipa'?
Sio kwamba mnakwepa kulipa 'tozo'?
Halafu mnafidiana manually??
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Lipa zote wanakata ndugu.Nasikia Lipa za Voda Zina makato, je ni kweli?
Boss hii ni zile natuma namba ya NIDA au tofauti?Daah hii Tigo iko moto sana Njoo nikuunge kifurushi cha Tigo GB Unlimited ndani ya miezi miwili kwa Elfu 10 tu. Nicheki Pm kama unahitaji.
Hii ikoje fafanua basi unaposema ni unlimited una maana gani ni gb ngap na je ni yale mambo ya vpn au ni vepe maana sisi wengine vpn hatuamind hata kidogoDaah hii Tigo iko moto sana Njoo nikuunge kifurushi cha Tigo GB Unlimited ndani ya miezi miwili kwa Elfu 10 tu. Nicheki Pm kama unahitaji.
Unlimited?Daah hii Tigo iko moto sana Njoo nikuunge kifurushi cha Tigo GB Unlimited ndani ya miezi miwili kwa Elfu 10 tu. Nicheki Pm kama unahitaji.
SawaLipa zote wanakata ndugu.
Lipa wanaitumia vibaya,Au mnataka kuweka tozo kwenye lipa??
Wewe mwizi umerudi tenaDaah hii Tigo iko moto sana Njoo nikuunge kifurushi cha Tigo GB Unlimited ndani ya miezi miwili kwa Elfu 10 tu. Nicheki Pm kama unahitaji.
Huyu ni tapeli achana naye huwa anajificha watu wakijisahau anaibukaUnlimited?
Mmh!Daah hii Tigo iko moto sana Njoo nikuunge kifurushi cha Tigo GB Unlimited ndani ya miezi miwili kwa Elfu 10 tu. Nicheki Pm kama unahitaji.
Safi mkuu waumbue kabla hawajapiga watu round two 😂😂😂😂😂😂😂Wewe mwizi umerudi tena
Hichi kikurya ni kijambazi usimchukulie kwa umakini sanaMmh!
Ila kuna wapuuzi tu bado watapigwaHuyu ni tapeli achana naye huwa anajificha watu wakijisahau anaibuka
Hakukua na haja ya kutaja kabila lakeHichi kikurya ni kijambazi usimchukulie kwa umakini sana
Fafanua kidogo mkuu, wanafidiana Kwa namna ganiKwanini mnatumia hii huduma ya 'Lipa'?
Sio kwamba mnakwepa kulipa 'tozo'?
Halafu mnafidiana manually??
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app