BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 594
- 1,827
CCTV Crime News
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini alikufa.
Jina ni: Nilton César Silva Aguiar.
....
Hapa aliingia Benki kama mlemavu
.....
Hili hapa pigo la kwanza, askari alipigwa risasi ya kifua, bahati nzuri askari alikua amevalia bulletproof ya kuzuia risasi, hivyo haikumpiga
....
Pigo la pili, askari alirudisha mapigo na kumpiga jambazi sehemu ya kifua.
................
Baada ya jambazi kupigwa ya kifua akainama kisha akapigwa nyingine ya shingo
........
Jambazi kipindi anapiga alikua akimsogelea askari, ndipo askari akainama chini ya meza ili afanye counter kumzungukia kwa nyuma, lakini jambazi lilisogea hadi usawa wa meza na likampiga askari risasi ya uti wa mgongo ili kumpa-paralysis. Ambapo hata hivyo haikumpata ila ilimchubua mkono wa kushoto.
Jambazi alifia mlangoni kwa kuvuja damu shingoni. Baada ya jambazi kudondoka utawaona wahudumu wa benk wakikimbilia ndani na mlinzi akirudi ulingoni. Kwa hivyo Hakufa wala kujeruhika mtu, ispokua mlinzi ilimchuna mkono wa kushoto.
....
Jambazi alifanikiwa kukwepa hatua za usalama za benki kwa kutumia sahani ya chuma kwenye mguu wake kama mlemavu wa mguu wa kushoto ili kuweza kuingia ndani na bunduki bila kulazimika kupitia mlango mkuu wa ukaguzi.