JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,525
- 7,574
Kwa hiyo wajanja ni nyie mnaojifanya DP World wakati tunajua ndio ninyi akina JK, Makamba, Rostam na Sa100.!? Wapumbavu sana nyie.Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.
Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni