Zanzibar wenzetu wapo dunia nyingine ,hasa huwaga najiuliza inakuwaje wenzetu bei zao za mfano simu, laptops, fridge na electronics Kwa jumla wanauza Kwa bei mzuri kuliko huku kwetu.Zanzibar lazima ilindwe, otherwise Wazanzibar watamezwa.
Ukiamuwa kuwa mkweli wa nafsi yako kero za muungano usizijadili kwa mihemko, mimi kwanza ningependa Wazanzibar tuwape uhuru wao tunadumaza maendeleo yao.
Zanzibar nje ya muungano hata Dubai tutakuwa hatuendi tunamaliza mambo yetu Zanziba.
Machogo tunawafukarisha Wazanzibar kwa manufaa ya ccm.
View: https://youtu.be/Anpu1A8votA?si=98jTv4wJXuINnMdV
Asisitiza Samia akane kama sio Mzanzibar? Amesoma katiba ya Zanzibar ikieleza Zanzibar ni nchi, kwa hiyo sio kweli Samia katoka nchini Zanzibar?
Chadema wakifungua bendi ya taarabu watapiga sana hela, kama ilivyo Ccm ikifungua chuo cha machawa
Sasa huyu mama anakaa Zanzibar muda gani?
Halafu Lissu akisema Mzanzibar anashambuliwa, shenzi kabisa
Hiyo siyo "sweeping statement" au "general statement" kama ulivyosema hapo awali ndugu Kalamu...Sawa, lakini fahamu kuwa haikuwa lawama kwako. Unapofanya 'sweeping statement' kama ulivyofanya, inakuwa ngumu sana kutetea hoja unayoiwasilisha.
Dodoma ninayoizungumzia ni ile aliyoizungumzia Lissu katika Video. Kama hujaisikiliza hiyo video (ipo kwenye uzi huu), tafadhali isikilze kwanza ndio twende pamoja. Katoa mfano wa idadi wapiga kura wa Dodoma na wabunge wake akilinganisha na wale wapga kura wa Zanzibar na wabunge wake. Kazi kwako, ndio urudi tujadiliane.Naona hujui unacho ongelea kuhusu huo uwiano unaokupa shida kuuelewa wewe.
Hata hujui Dar inao wabunge wangapi?
Unapoongelea Dodoma, una maana ya Dodoma mjini, au Dodoma mkoa?
Inasikitisha sana kuona kuwa hata hujui majimbo ya uchaguzi yanatakiwa kuwa na sifa zipi. Wewe unaishi Tanzania, au unatembelea tu!
Sina shida na bando, lipo bila kikomo. Nimeiasikiliza video yoteee, na kuelewa jinsi alivyokuwa mbaguzi. Hakika nakwambia, kosa CHADEMA mtalifanya ni kumchagua Lissu kuwa mgombea wenu wa urais 2025. Hana point zaidi ya kuzungumzia UBAGUZI.Hoja yako ni nini hapa?
Au huna bundle (MB) kufungua na kusikiliza video na kuelewa kilichozungumzwa?
Majibu ya maswali yote uliyouliza yamo kwenye maelezo ya TL kwenye video clip hiyo. Sikiliza tena, acha uvivu..
Kama wewe ni Daktari, endele na kazi ya utabibu. Ila ushauri wangu uanze kwanza kupima akili ya Lissu.Wewe nadhani una shida kwenye ubongo na kichwa chako, sio bure..
Lengo la hoja ya Tundu Lissu sio hilo unalowaza wewe..
Yaani Tundu Lissu anaonesha changamoto na nyufa za muungano zilizo ndani ya katiba..
Badala ya wote tukubali na kuona kuwa ni kweli lipo tatizo la hivyo tukubaliane kukaa chini kama taifa kurekebisha kasoro hizo wewe unawaza vita ya wenyewe kwa wenyewe!... Una akili kweli???
Na kama hizi ndio akili za CCM na kushapaza shingo zao, unadhani chanzo cha machafuko (kama yakitokea) watakuwa kina nani Tundu Lissu na CHADEMA au ni hawa watawala wenye shingo gumu za kukubali udhaifu wao?
Huyu mwamba ni harariView attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.
Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...
Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.
Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!
Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..
Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?
Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"
Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..
Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...
Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?
Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?
Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!
Looh!!, mna shida kwelikweli nyie
Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
View attachment 2978056
Ndugu usiturudishe nyuma au kututoa katika mada. Kwani wewe hujivunii mkoa uliotoka, au wilaya, tarafa. Kwani ni dhambi kusema Nyerere anatokea Butiama, au Mkapa kusini, au Kikwete Pwani? Ngoja nisipoteze muda hapa.Rais Samia amewahi kusikika akisema yeye ni MZANZIBARI. Kwa hiyo sio ubaguzi kusema Raisi ni Mzanzibari, kwasababu haya yeye mwenyewe anajivunia kuwa Mzanzibari.
Tundu lissu amewagusa kwenye G-sport munaikatikia hewaniAnayeweza kusikiliza hiyo takataka ni nyumbu wenzie. Hilo shoga litakufa na upumbavu wake
Rais Samia amewahi kusikika akisema yeye ni MZANZIBARI. Kwa hiyo sio ubaguzi kusema Raisi ni Mzanzibari, kwasababu haya yeye mwenyewe anajivunia kuwa Mzanzibari.
Ajira za watendaji kata 2019 Moja ya vigezo vya kuajiliwa ilikuwa ni lazima uwe na kadi ya chama cha mapinduzi (mwanachama) na katibu wa wizara ndiye alishughurikia huo Sasa ndii ubaguzi kamili achana na hizo nyingine ni porojo za CCMNdugu usiturudishe nyuma au kututoa katika mada. Kwani wewe hujivunii mkoa uliotoka, au wilaya, tarafa. Kwani ni dhambi kusema Nyerere anatokea Butiama, au Mkapa kusini, au Kikwete Pwani? Ngoja nisipoteze muda hapa.
Sikiliza video ya Lissu vizuri akiwa umasaini utaelewa tunachompinga? na utaelewa kwanini tunamwita Mbaguzi. Bila kusikiliza video hiyo ya awali, hutaweza kujadili uzi huu, kwani utakuwa umeikosa point kubwa iliyozua hisia za watanzania mpaka kumwita mbaguzi.
Justify huo ubaguzi wake..Tatizo la Lissu ni jinsi anavyolielezea Hilo tatizo kiubaguzi baguzi.
√ Viongozi gani hao wengi walioeleza la muungano?Tatizo hilo limeelezewa na viongozi wengi, kwanini sikuwaita wao wabaguzi.
Narudia tena kukuambia.Achana hoja hii, hoja zake nyingi maelezo yake yameelemea kwenye ubaguzi.
Lugha nzuri na mbadala ya kusema kuwa "Rais Samia Suluhu ni Mzanzibari" unadhani ni ipi? Hebu tufundishe na sisi tuelewe..Kama mwanasiasa ni lazima achague lugha nzuri la kuwakilisha tatizo
Ukweli upi wa ziada unaofikiri hakuusema zaidi ya ukweli wa kunukuu ibara za katiba ya JMT na Zanzibar?na awe mkweli kitaaluma yake na kama mwanasiasa.
Narudia tena, acha kupayuka na kubwatuka tu kama mbwa koko..Huyu ni mbaguzi namba 1 Tanzania, sipati neno jingine mbadala.
Vita mnapigana na nani ebu ficha ujinga wakoNa ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.
Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja moja. Huwezi kujua Ethiopia waliingiaje kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe. Ni kama hizi siasa za Lissu ndio mbolea nzuri sana ya kukupeleka katika nchi ya ahadi ya Lissu.
Baada ya maelezo yake, tuchukulie kesho mmetengana, na yeye ndio Rais, hivi atakwendaje kwa jirani kuomba ujirani mwema?
Critical analysis za hivi Zina miss Tanzania. Ilitakiwa awepo mwingine mwenye counter analysis Ili kuwe na balanced opinion...View attachment 2977398
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za JMT (1977) na ile ya Zanzibar (1984) akihutubia maelfu ya wananchi Dodoma jana tarehe 29/4/2024.
Hakika utafunguliwa ufahamu wako na kila mtu atajua mjinga na mwerevu ni nani. Pengine ndiye mtawajua wabuguzi halisi ni kina nani...
Hii ni muhimu sana Nape Nauye na chama chake (CCM) wajitokeze kujibu hoja hizi na kuukanusha ukweli huu wa kikatiba kama unakanushika.
Mimi hata sijui mtu mwenye uelewa na ufahamu kama Tundu Lissu unaweza kumkamatia wapi ili umshitaki afungwe jela. Ni ngumu na pengine haiwezekani tu kabisa maana ni hakika kuwa: KNOWLEDGE IS POWER..!
Kila mtu anajua na kuelewa kuwa Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari. Yupo hapo kwa katiba hii ya 1977. HilI sina hakika kama lina ubishi wowote na kwwamba yupo mtu anaweza kulikanusha hili..
Na hivi inawezekana vipi kuwa kila ukweli unaojifunua kupitia kwa watu kama Tundu Lissu aliyejitoa kupigana kwa damu yake mwenyewe kwa ajili ya manufaa ya watu masikini wengi iwe ni ubaguzi na uchochezi? Really?
Mimi nadhani ifike wakati kila mtu wakiwemo watawala kupitia CCM waelewe kuwa nyakati za kuishi katika giza la ujinga wa kudanganywa na watawala umefika mwisho. Tunachosubiri kwa sasa ni justification tu kupitia "unyakuo"
Inashangaza kuwa kina Nape Nauye na CCM yake wanataka tuendelee kuishi ktk giza la ujinga na udanganyifu wa miaka 60..
Hapana. HII HAIWEZEKANI TENA... Watu wanataka kuishi katika Nuru ya haki na usawa...
Hebu nyie kina Dr Akili, ChoiceVariable, Tlaatlaah, Samiaagain2025 MamaSamia2025, Paul Makonda, @Nnape Nauye njooni mkanushe ukweli huu kwa hoja zenye ushahidi halafu mrudi tena kusema mbaguzi hapa ni nani. Pia mseme kama Rais Samia Suluhu Hassan sio mzanzibari, basi ni wa taifa lipi?
Na kuna ugumu gani wote kukiri kuwa kuna tatizo katika muungano huu wa 1964 kati ya Tanganyika na Zanzibar?
Kazi ya Tundu Lissu ni kuonesha matatizo lakini nyie mnamwita mbaguzi..!!
Looh!!, mna shida kwelikweli nyie
Pia soma: Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote
View attachment 2978056
Anatumwagia kitumbua mchanga wakati tunakulaHuyu dogo lisu watnzania hatumpendi ka nini. Arudi kwa hub wake mzungu man