What IDU pretend to ignore is the underlying facts that even within Chadema as a party, there is no signs of democracy, or anything closer to it. Their Supreme Chairperson is like a monarchy. He has been there for decades.View attachment 1646533
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu...
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo hiyo...
Hongera sana Mh. Tundu A. Lissu. Binafsi nakutakia kila la kheri...
View attachment 1646534
Mwanzo wa hesabu ni moja wengine husema ni sifuli. Ndio kaanza hivyo. Rasmi jumuia ya kimataifa imeanza michakato ya kitaratibu na kanuni zao kuwashughulikia wezi wa kura na madikteta. Kimya kingi kinamshindo mkuu.Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!
Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Sikujua kuwa nawe ni mjinga kiasi cha kuandika kwa namna hii kama layman.Mwambieni atazoa 'Tuzo' sana tu za hao 'Mabeberu' wake wanaomtuma ila Tanzania 'Rais' ni Dk. Magufuli na Chama Tawala ni cha 'CCM' tu pekee.[/FONT]
CCM hawana jipya lolote wanarudiarudia maneno hata nyimbo zilizotumika wakati wa kudai Uhuru ili kuwaweka wananchi kisaikolojia kujua ubaya wa Ukoloni. Beberu ni mbuzi dume tu kwenye kundi anayezalisha majike lakini ni aggressive sanasana akiwa kwenye heat maana anakuwa mkali kwa mabeberu mengine ili awe yeye tu. Viongozi wa mapambano ya kudai Uhuru walitumia maneno mabeberu, mabepali na mengine ili wananchi wawapende na kuwafuata wao na wawachukie wakoloni. Mbinu hizi maneno, nyimbo na sanaa zilifanikiwa sana lakini baada ya Uhuru ziliachwa kupisha Uhuru na Kazi.Haya ni maneno ya waliokosa akili.
Ukisikia tu mtu anasema kuwa mtu fulani anatumiwa na mabeberu, utambue kuwa mtu huyo hana akili. Ukitaka kuthibitisha, mwulize ni kwa namna gani mtu hutumiwa na mabeberu, haweza kukupa jibu lolote la maana.
Neno hili kwa sasa limekuwa likitamkwa zaidi na wapenzi na mashabiki wa CCM ambao utafiti wa TWAWEZA ulithibitisha kuwa ni watu wajinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitudanganya kuwa tumepewa basi la siasa kumbe ni edited photo. HatareeeeeeHongera yake, kama hajawadanganya, ...
Leo Paskali umeokoka, hongeraMtafisirie mwananzengo mwenzio. Hotuba ya Lissu ni mashtaka tosha ya serikali yenu kwenye ulimwengu wa kidemokrasia mnaouita wa mabeberu.
Unatakiwa ujidharau wewe kwanza, kwani umeuliza swali la kipumbavu sana.Sijawahi Kuulizwa au Kukutana na Swali la 'Kipumbavu / Kipopoma' tokea nijiunge hapa JamiiForums kama hili lako. Limenifanya 'nikudharau' sana.
Mwaka huu mtacheua mpaka mabia na kachumbariItatusaidia nn sisi? Walo mpa ndo walomtuma.
Tunzo,Hahaha ni TUZO au TUNZO?!
Hapo naomba tusaidiane ni ipi sahihi kwa faida ya lugha yetu na matumizi sahihi kwa baadaye.
Kakusaliti Nini?Baada ya kumtumia mabeberu yameamua kumpoza mwenzao.. To hell Lissu msaliti
Hivi huyu ndugu hafai kuwa Rais wa JMT just because he's from Opposition Party - CHADEMA, hana uwezo wala sifa za kuwa Rais na mkuu wa nchi au tatizo lake ni nini hasa?
Na kama tatizo ni kwa sababu yuko chama cha upinzani, I suggest ajiunge haraka sana CCM na John Pombe Magufuli immediately ampishe jamaa kwenye kiti chake maana huyu ndiye mshindi wa kiti cha Uraia ktk sanduku la kura kwenye uchaguzi uliopita...!!
Jamani eeeh, we don't care anatoka chama gani. Sisi tunamhitaji mtu na mtu wa kufaa kuwa Rais wa nchi hii ni huyu haijalishi ni mCCM au mCHADEMA or whatsoever....
Hundiye Mr President Tundu Antipas Mughway Lissu aliyechaguliwa na watu whether some people like to hear it or they don't...!!
Amekuwa mtu wa ngapi Kati ya waliowahi kuipata tuzo hiyo?
Eti Lissu anafaa kuwa rais? Tena rais wa nchi? Labda nchi ya kusadikika sio nchi iliyoko dunia hii iliyoumbwa na Mungu. Halafu eti kuna wananchi walimchagua. Mambo ya ulimwengu wa kusadikika hayo. Hao wananchi wangemchagua Lissu kwa lipi??? Kwa nza kwa wanaompenda Lissu wamshauri apunguze gharama zake kwa kumleta dereva wake wakati wa shambulizi ahojiwe na polisi ili ukweli juu ya lile shambulio ufahamike. Kwa wasiojitoa ufahamu bado wanahoji kwa nini gharama kubwa zitumike kumficha dereva. Ila kwa ambao wamejivua ufahamu wanasema sio issue kumweka dereva ughaibuni kwa gharama kubwa kisa tu ni ili asihojiwe na polisi wa Tanzania
kwahiyo sasa hivi mmekua kama condom chadema...huyo huyo anaanda kikao cha kuulizia sijui ela za covid 19..huyo huyo anatoa tuzo kwa Tundu lissu ah ah chadema punguzeni upopomaUnatakiwa ujidharau wewe kwanza,kwani umeuliza swali la kipumbavu sana.
Kwanza jiulize wewe unafaida gaani kwa watanzania?
Utaka kutuambia wewe una akili nyingi kuwazidi walioanzisha hiyo Tunzo na kuamua kumpa tundulilisu?