Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,478
Was Kikwete ready for prime time?
That is beside the point, the opposition is supposed to be better than CCM. That is the whole point of mageuuzi, the gradual replacement of nepotism, incompetency, unaccountable ways etc and all it's ilk with a better system. Sasa Slaa ahatuonyeshi kwamba yeye ni better than Kikwete hivi ?.
In fact kuna watu watasema anajionyesha kwamba ni sawa au hata mbaya zaidi ya Kikwete.
Kwa hiyo kwa nini tuchukue risk ya kubadilisha utawala na kutoa chama kimoja kuweka kingine wakati hatuna hata uhakika kwamba tunayetaka kumleta ni bora kuliko tunayetaka kumtoa?
Tunaweza kuingia costs za regime change (inexperienced party, no national network etc) bila ya kupata benefits za regime change ( better leadership, integrity, accountability etc) tukapata "the Chiluba effect".
Hili ndilo silitaki.
Narudia, is Slaa ready for prime time? Kama Kikwete is not ready for prime time tunajua the worst he can do on a minute of MSNBC, Davos mpaka Kigamboni.
Slaa je? Who is to say kwamba hataanzisha magwaride ya wake za watu kuchagua mwanamke wa kulala naye siku baada ya siku ?
Was Kikwete ready for primr time? You are damn right he wasn't.
But two wrongs do not make a right.