Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Status
Not open for further replies.
Umemchagua Kikwete katika maandishi yako.
Kuna uchaguzi kati ya watu wawili hapa, Kikwete vs Slaa (na lipumba na wengineo).
Wewe over and over umesema kuwa Slaa hafai kuwa raisi kwa sababu kibao tu. Hii inamaanisha kuwa Kikwete aendelee kuwa raisi.

Bado natafuta kule ulikosema kuwa bora ubaki na Kikwete.

Huoni hata aibu,

Kuna uchaguzi kati ya watu wawili (Kikwete na Slaa) au zaidi (na Lipumba na wengineo) ?

Huwezi kuwa na uchaguzi kati ya watu wawili Kikwete na Slaa na Lipumba na wengineo, ukishamuweka Lipumba wanakuwa zaidi ya wawili.

Sasa kwa nini unafikiri hii race ni Kikwete vs Slaa ? Na kwa nini unataka kunichagulia mtu wa kumpigia kura? Mtu hawezi kumsema mgombea halafu akampigia kura ?
 
Men are only as honest as their options.

Huwezi kumuachia mwanamme ******* asiye na urijali mwanamke wako, halafu ukamsifia kwamba kajistahi na hakumparamia mwanamke.

Slaa hakuweza kufanya EPA kwa sababu hakuwa na dola, ila hata huko CHADEMA kuna tuhuma zimetolewa kuhusu matumizi mabaya ya fedha.

Hili linaonyesha kwamba hizi habari za mageuzi ni gumzo tu, huyo Slaa sio msafi hivyo wala nini. Kajaa madudu tu na yeye.

ile story yako hapa aliyotoa FMES kuhusu ufisadi kwenye ndoa yako ni ya kweli?
 
Huoni hata aibu,

Kuna uchaguzi kati ya watu wawili (Kikwete na Slaa) au zaidi (na Lipumba na wengineo) ?

Huwezi kuwa na uchaguzi kati ya watu wawili Kikwete na Slaa na Lipumba na wengineo, ukishamuweka Lipumba wanakuwa zaidi ya wawili.

Sasa kwa nini unafikiri hii race ni Kikwete vs Slaa ? Na kwa nini unataka kunichagulia mtu wa kumpigia kura? Mtu hawezi kumsema mgombea halafu akampigia kura ?

kwa hiyo katika uchaguzi wa mwaka huu wewe unamchagua nani kuwa raisi?
 
Slaa anajua kwamba kachemsha hapa, ndiyo maana haongei kuhusu hili.

Kwa nini unasema uongo Kiranga, Slaa ameongelea hili jambo more than once.

Angekuwa Kikwete ndiye kachukua mke wa mtu na kuna accusations hizi mngekuwa mna scream bloody murder, mimi na scream bloody murder same way, whether it is Kikwete or Slaa. While some of you are just screaming on partisan basis.

That is the difference between me and you.

Kiranga,

Kikwete kachukua wake za watu (more than one) ila watu tumeamua kukaa kimya tu kwa vile hilo si jambo muhimu kwa wakati huu. Huu ni uongo mwingine tu unauleta hapa.
 
Mimi si support Kiwete au Siraha, wote ni miyeyusho tu kwangu. Especially kwa sababu Siraha kashapewa nafasi na kajionyesha kumbe mtu wa kujali bupe kuliko public service.

Ukishaona mtu anaenda kwenye matusi basi jua kaishiwa.
Kiranga leo umebanwa hadi unamwita majina mzee wa watu.
Unafaidika kiasi gani na ufisadi wa ccm? mbona hasira na mapovu kiasi hicho?
 
Raisi Kennedy alikuwa fisadi wa ngono. Raisi Clinton alikuwa na inasemekana bado ni fisadi wa ngono. "W" alikuwa teja. Obama naye alikuwa mvuta bangi......

Wamarekani hawakujali sana hayo na wakawachagua hao mabwana kuwa maraisi wao....
 
Tuonyeshe basi alivyokanusha, whats the point of a forum kama unakuja na vitu bila kuviback.

Mimi nina back up - soma ile thread inayoendelea hapa ya maisha binafsi ya viongozi na utakuta interview ya Slaa na dailynews (kama sikosei).

Sasa wewe leta back up ya kuwa Slaa hajaongelea hili jambo.
Kisha tuendelee na tuhuma dhidi yako kwa mujibu wa FMES (sijui kaenda wapi huyu).
 
Kwa nini unasema uongo Kiranga, Slaa ameongelea hili jambo more than once.



Kiranga,

Kikwete kachukua wake za watu (more than one) ila watu tumeamua kukaa kimya tu kwa vile hilo si jambo muhimu kwa wakati huu. Huu ni uongo mwingine tu unauleta hapa.

Unasema habari hivyo kama mie ndiye niliyeleta habari za Slaa na unyumba wake hapa?

Mie sikuleta hizi habari, kama mmenyamaza kwa Kikwete kwa nini msinyamaze kwa Slaa ?
 
Raisi Kennedy alikuwa fisadi wa ngono. Raisi Clinton alikuwa na inasemekana bado ni fisadi wa ngono. "W" alikuwa teja. Obama naye alikuwa mvuta bangi......

Wamarekani hawakujali sana hayo na wakawachagua hao mabwana kuwa maraisi wao....

Kiranga ana different standards za raisi.
Anamtaka raisi awe na vimada kama kumi hivi (kikwete) ili mradi tu watu hawajaongelea habari zake.
 
Unasema habari hivyo kama mie ndiye niliyeleta habari za Slaa na unyumba wake hapa?

Mie sikuleta hizi habari, kama mmenyamaza kwa Kikwete kwa nini msinyamaze kwa Slaa ?

Hapa kinajibiwa kile unacholeta.
Hapa kuna mada kibao zinaanzishwa zikiongelea swala la Slaa. Majibu yanatolewa. Majibu pia yanatolewa kwa uongo wako na udaku unaoendelea kuumwaga hapa.
 
Kiranga ana different standards za raisi.
Anamtaka raisi awe na vimada kama kumi hivi (kikwete) ili mradi tu watu hawajaongelea habari zake.

Maraisi na wao ni binadamu na kamwe haitatokea kupata raisi asiye na mapungufu. Kwangu mimi cha muhimu ni rekodi ya utendaji ktk utumishi wa taifa. Maisha binafsi sina raghba nayo kwa sana kwani yakiwa ndiyo moja ya viwango basi tutakosa wakutuongoza.
 
Raisi Kennedy alikuwa fisadi wa ngono. Raisi Clinton alikuwa na inasemekana bado ni fisadi wa ngono. "W" alikuwa teja. Obama naye alikuwa mvuta bangi......

Wamarekani hawakujali sana hayo na wakawachagua hao mabwana kuwa maraisi wao....

Mazee,

Mimi sijaongelea kabisa watu wampigie kura nani katika thread hii. Ninauchimba ukweli tu ili wanaopiga kura, vyovyote vile, wapige kura wakijua wanampigia nani.

Kama unaona Slaa anatufaa sawa, lakini lazima tujue kama Slaa ni bazazi la kukaa na mke wa mtu, kisha tukisema "potelea mbali" tuwe tunampigia kura huku tunamjua.

Hizi habari za kumfanya Slaa kama mtawa wakati ananuka ubazazi ndiyo sizitaki.
 
Maraisi na wao ni binadamu na kamwe haitatokea kupata raisi asiye na mapungufu. Kwangu mimi cha muhimu ni rekodi ya utendaji ktk utumishi wa taifa. Maisha binafsi sina raghba nayo kwa sana kwani yakiwa ndiyo moja ya viwango basi tutakosa wakutuongoza.

Mazee maisha binafsi ni kitu kimoja.

Kumtambulisha mke wa mtu kwa wapiga kura kama mke wako ni kitu tofauti kabisa. Dr. Slaa ka violate trust ya Watanzania, tushajua kwamba yuko capable ya hilo.
 
Mazee,

Mimi sijaongelea kabisa watu wampigie kura nani katika thread hii. Ninauchimba ukweli tu ili wanaopiga kura, vyovyote vile, wapige kura wakijua wanampigia nani.

Kama unaona Slaa anatufaa sawa, lakini lazima tujue kama Slaa ni bazazi la kukaa na mke wa mtu, kisha tukisema "potelea mbali" tuwe tunampigia kura huku tunamjua.

Hizi habari za kumfanya Slaa kama mtawa wakati ananuka ubazazi ndiyo sizitaki.

Kiranga,

Hujasema so far kuwa watu wampigie nani, lakini unasema kuwa wasimpigie Dr Slaa.

Sasa kabla sijaandika chochote hapa, nitasubiria utoe maelezo ya tuhuma dhidi yako zilizotolewa hapa na FMES kuhusu ubazazi kwenye ndoa yako. Je ni za kweli?
 
Kiranga ana different standards za raisi.
Anamtaka raisi awe na vimada kama kumi hivi (kikwete) ili mradi tu watu hawajaongelea habari zake.

Acha kuniwekea maneno mdomoni. Kama unataka kuendekeza ujinga huu utapoteza maana nzima ya thread.

Wapi nimesema hivyo ? Au unataka kuendekeza uongo wa wazi wazi hapa?
 
Mazee maisha binafsi ni kitu kimoja.

Kumtambulisha mke wa mtu kwa wapiga kura kama mke wako ni kitu tofauti kabisa. Dr. Slaa ka violate trust ya Watanzania, tushajua kwamba yuko capable ya hilo.

ni kweli kuwa nawewe ulileta ufisadi kwenye ndoa yako (kwa mujibu wa FMES)?
 
Kiranga,

Hujasema so far kuwa watu wampigie nani, lakini unasema kuwa wasimpigie Dr Slaa.

Sasa kabla sijaandika chochote hapa, nitasubiria utoe maelezo ya tuhuma dhidi yako zilizotolewa hapa na FMES kuhusu ubazazi kwenye ndoa yako. Je ni za kweli?

Nishasema watu wampigie nani, several times, na sijasema watu wasimpigie Slaa, kama umeona hivyo naomba nionyeshe.
 
ni kweli kuwa nawewe ulileta ufisadi kwenye ndoa yako (kwa mujibu wa FMES)?

FMES yupi? yule anayeforce kuwajua watu na kuwabambikia story hiyo hiyo moja ya kwamba kawaona kwenye basement DC? Story hiyo hiyo kambambikia Kuhani na Fundi Mchundo ?

Ni FMES amesema hivyo au unataka kutumia kichaka cha FMES kuendeleza uongo wako ulioanzisha hapo juu ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom