VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

tunataka hasa inayohusu hapo blue kwani ndiyo itakata mzizi wa fitina na vilimilimi vya baadhi yetu


Asante Ben,ingawa sijaangalia video hii.
Ninashukuru kwa sababu habari yako umeiandika vema,hasa kwa kutaarifu mapema kwamba video haina kile ambacho wengi wetu tunakisubiria kukisikia.

Nitafungua mkanda wenye kuonyesha aliyelipua bomu
 
hakuna shaka tena kuwa hii serikali mungu aliye hai ataikataa! Ebu watanzania wote tuungane na mungu aliye hai kuikataa serikali ya ccm.
wacheni upuuzi hizi ni siasa tu, mimi naamini kabisa kuwa hata hao chadema wenyewe inaweza kuwa ndio walorusha bomu hilo kwa kumtumilia polisi (kama ni kweli) wanaweza kuwa wamevaa uniform za polisi, au munadhani hao polisi hakuna wafuasi wa chadema????? Na kwa nini bomu hilo lirepuliwe karibu na hicho kiriri cha kutoa hutuba tena pale alipopanda muheshimiwa aliyetaka kuhutubia watu wa arusha????
Kama lengo ilikuwa ni huyo muheshimiwa basi huyo muheshimiwa angelipigwa risasi 1 tu ya kichwa bila ya hata kujulikana aliyefanya tukio, ila hili bomu nina imani kabisa kuwa mfanyaji na wapangaji wa hili tukio na shambulizi ni wenyewe chadema, msidanganywe na hizi siasa na hawa wanasiasa, kwani walofanya september eleven attack marekani ni osama kweli???? Amkeni nyinyi wachaga
tanzania sasa imekalia time bomb niliwaambia zamani haya maneno tokea 2010 tusubiri hiyo 2015 time bomb iripuke pasikalike tena hapa ndio lilobakia, hivi unadhani chadema watakubali kushindwa 2015? Hivi unadhania ccm watakubali kushindwa 2015 basi ujue tanzania ipo katika time bomb, ndio maana huku zanzibar tunataka kujitoa na mapemaaaaa katika muungano na hii time bomb yenu munayotegeshewa muirepuwe wenyewe.....mwenye remote hayupo hasaaaa.
 
Hakuna neno au jina jingne kwa muuaji huyu ila "SHETANI"
Jamb gani lita-justfy unyama huu?
For how long shall we stand aside and watch you eating(stilling) our funds n drinking our blood?
Your dayz are number as kikombe cha mwenye dhambi ki-karibu kujaa.
 
Jamani kwenye 0:30 hapo ni Nani yle mwenye miwani kaweka mkono wa kulia mfukoni mwa suriali na wa kushoto mfukoni mwa shati? Ebu tuanzia hapo kwanza
 
Nani Huyu Jamani???
WHO IS-SNIPER-KAMANDA-NANI.JPG
 
naomba watu mfikirie kwa makini na kiundani zaidi..acheni kuwasema ccm..kwanin kila siku ni mikutano ya chadema tu ndo watu wanakufa? Mbona hatusikii chama kingine? Hebu jifikirieni..tena yote inatokea sehemu ambao walikatazwa kupewa kibali..iringa ilikuwa hivi hivi walikataliwa kibali an soweto pia tunaambiwa walikataliwa bado wakaenda.. Kwanini walienda kama hawakupewa kibali? Kama kweli wanawatakia watu wao mema ..maana walijua baadae polisi watakuja kusambaratisha. Why? Tumieni machoa ya ndani...mimi nimepoteza imani nao.

unywaji wa pombe ni hatari kwa afya yako...nadhani kwa akili yako hata tar 15 walipolipua bomu hawakupewa kibali..
 
mkuu Ben Saanane kwenye video mlio wa bomu umesikika katika sekunde ya 53 , mlio wa risasi ya kwanza dakika ya 3 na sekunde 29 , wakati mlio wa risasi ya pili umesikika katika dakika ya 3 sekunde ya 33.mimi naamini hiyo milio ya risasi ilikuwa ndiyo hiyo majeruhi mmoja tumemsoma kwenye mwananchi kuwa mtu wa kwanza aliyekuwa anamkaribia mrushwaji alitandikwa risasi na mlio wa risasi ya pili ni ule wa mtu wa pili aliyekuwa anafuatia kumkamata mrusha bomu, swali langu ni kuwa mbona kama kulikuwa na muda wa kutosha kumbaini na kumkamata huyo mrushaji ilikuwaje ikachukua muda mrefu hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Nimeangalia hii video, kweli nimelia, mapigo ya moyo yamenienda kasi, hasira zilinijaa baada ya ya majonzi...ninajaribu kufikiria na kutafakari ni nini cha kufanya dhidi ya hawa wahusika. Sifikirii tu kuwaondoa katika dhamana tuliyowapa sisi kama wenye nchi, bali nafikiria hata ni maumivu gani wapate ili na wenyewe watambue kuwa ni dhambi kubwa kumchagulia mtu kifo bila dhamana ya MUUMBA MWENYEWE.
Sijapata jibu lakini naamini litakuwa very painful.
 
Tahadhari: Tafadhali fungua ukiwa mbali na watoto kwa kuwa kuwa ni video ya kikatili


WANAJF,

Video hii ni sehemu ya kwanza tu inayoonyesha kabla na baada ya bomu kulipuka hali ilivyokua bila kuonyesha ni nani aliyelipua.Ni video ya dakika 4:19.Hivi ndivyo maisha ya watanzania wenzetu yalivyokatishwa kikatili.



Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE - YouTube



Kwa kweli umenikumbusha mbali sana kwani nilikuwa karibu sana na mahali bomu lilipolipuka ila najua kuwa Mungu ana makusudi na mimi ndo maana ckupata madhara....ila hali ilikuwa ya kutisha kuliko kawaida........ Tuzidi kumuomba Mungu ili watenda maovu wote wawekwe hadharani.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli umenikumbusha mbali sana kwani nilikuwa karibu sana na mahali bomu lilipolipuka ila najua kuwa Mungu ana makusudi na mimi ndo maana ckupata madhara....ila hali ilikuwa ya kutisha kuliko kawaida........ Tuzidi kumuomba Mungu ili watenda maovu wote wawekwe hadharani.

vaspanya
Pole sana kamanda
 
Last edited by a moderator:
kinana kazini kashazoea haya mambo huko kwao....nape anafuata mkumbo kapewa mic tu aropoke nyaa kali kama gay anadhubutu kusema ni chadema wenyewe hata chizi hawezi kukubaliana na hili....kale kababu lukuvi cjui kina ass gani wamekipa ubunge kina roho mbaya na unafki kama mchawi hapa cma chama ila CCM au lah wapinzani wa chadema wanausika iwetlp,cuf ,nccr,,ila wenyewe chadema wajilipue au ndumba inafanya kazi kwenye siasa walitaka kutoa kafara labda wangesema hivyo kina....ccm..
 
Inaumiza na inasikitisha kwa kweli, tunapoelekea watanzania sio salama, Mungu atusaidie. Wapumzike kwa amani, Amina.
 
Nmeichek hii video,
Kuna very thin line from nomalcy to being pushed to the limits to become extremist.
Nafeel kama nahitaji RPG-7 kama sio Dragunova
 
Kwan cdm hakuna wataalam wa kuweza kudetect hzi mambo kabla ya ku2kia?
 
vaspanya
Pole sana kamanda

Asante sana kwa hii video ndugu Ben!

I know somehow this does not come as a shock to most of us. We have seen this coming for a long time.

Tunatoa pole nyingi sana kwa wafia, kwa chama na wapenzi wa cdm pamoja na watu wote wenye mapenzi mema na chii hii.

Ushauri wangu kwenu nyinyi viongozi, CCM wameshashindwa kwa kila namna, and this is there last and most effective way. CCM wants to kill all of you, it doesnt matter when, tena kwa bunduki. I am saying this because you can see it in their face and their statements. This is a fact ambayo haina mjadala. Perhaps hapo nyuma walikuwa wanawatania, but this time they are aiming for it. Otherwise, tunaweza kuwapoteza.

U need to restrategize upya. Sina maana mgive up, no at all. One thing you should know is that never face ccm at this moment without uhakika wa security, especially security ya viongozi wenu.

Hili swala inabidi mliweke kwenye top agenda, mlifikirie sana!! Mpo wengi hamwezi kushindwa hata kidogo, . Sehemu ya kwanza ambayo inabidi muitarget ni kwenye jeshi. Fanyeni juu chini mpate tathmini ya nguvu za kijeshi na silaha na kila kitu kuhusu majeshi yote tz, pamoja na watu katika jeshi wanaotumika na ccm.

Sisemi mpambane na jeshi ila mpambane na ccm ndani ya jeshi. Hili ni la muhimu sana. Msipambane naao tu majukwaani na bungeni. Hapana. Hapa ndio mahali pekee mlipopabakiza panapo wapa hawa kina mwigulu, nape, etc uhai wa kuongea. Apart from that, hawana akili yoyote wale, pamoja na baba zao ndani ya chama.
 
Jehanam ya mtenda maovu ni hapa hapa duniani,yeyote aliyehusika kwa namna yeyote na tukio hili la kikatili anapaswa kulipwa kwa kadili ya ukatili aliofanya dhidi ya wanadamu wenzie waliostahili kuishi...Mungu awapumzishe wote waliofikwa na mauti kutokana na tukio hilo na pia awatie nguvu ndugu,jamaa na familia zilizizopoteza wapendwa wao!
 
Back
Top Bottom