Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
- Thread starter
- #201
This is too much,wapiga kura wao vijijini hawayajui haya ndio maana hawashtuki wala kuteteleka
mimi ninashauri hizi video tuzihifadhi,kila anayekwenda kuelimisha watu vijijini aende na projector wananchi wajionee wenyewe unyama huu...we are at the critical point that we need to sacrifice OUR lives to bring changes..nitakuwa wa kwanza kuzipeleka video hizi kwa wapiga kura wao hata waniue sitakuwa wa kwanza kuililia ardhi yangu.....
Ben hongera kwa ujasiri huu
they have killed one but we are coming
Rose Mayemba,
Tuzisambaza nchi nzima wananchi waone unyama huu uliofanywa na watanzania wenzetu kwa sababu za kisiasa tu baada ya kushindwa kukabiliana na Chadema kwa hoja.
Mimi natangaza wazi kabisa uvumilivu wangu kwa jeshi la polisi na serikali yangu umeisha kabisa sina chembe ya uvumilivu iliyobakia.
Last edited by a moderator: