VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Tuliingizwa chaka sana ndugu zangu hasa kwenye lugha ambazo hatuzijui kama kifaransa.
 
Mkalimani anaweza kukosea kwa 'makusudi mema ya kidiplomasia'; si kila wasemacho wageni ni sifa njema kwa viongozi ama nchi yetu, vingine ni vijembe.

Mkalimani ana akili timamu, anakijua vema Kiingereza, kajiongeza kwa manufaa ya Hayati wetu na nchi, apongezwe, asibezwe.
 
IMG-20210323-WA0043.jpg
 
Hehehe mbavu zangu jamani, haya endeleeni kung'ang'ania hamtaki kujifunza ngeli, mtaingizwa chaka kwenye hata mambo muhimu ya mikataba...hehehe
Haya yote aliyaleta kile kibabu Nyerere kilipofuta rasmi ung'eng'e mwaka 1968.
Sijawahi kukikubali.
 
Huyo ameshazoea kuongopa toka huyo ninja akiwa hai.
Kiongozi anaweza kusema "H.E John Magufuli congratulation for being elected" mkarimani alivyo mnafiki utasikia "Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kwa ushindi wa kishindo mitano tena"

Mtzji wao sasa (wajinga ambao ni wengi) sio kwa shangwe watakazozitoa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
✌️
 
Kiingereza mna kithamini, kiswahili lugha mama mnakidharau. Hii imekaaje!

Mswahili akijua kuongea kiingereza humwambii kitu, ni kama kapewa dunia yote amiliki 😂
 
Back
Top Bottom