Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Hata hao wasiojua Kiswahili pia nao wakikijua hata kidogo tu basi huhisi raha wakizungumza na wenyeji. Sasa vivyo hivyo ndivyo sisi tusiojua kiingereza, tunajihisi. Hakuna anayedharau lugha ya mama. Huko nje ya nchi mkikutana waswahili mbona raha kwani ndio huboeki tena kama ingekuwa twakitukuza sana hicho kiingereza chao basi hata tukiwa ughaibuni tungekuwa bado tunalonga hiyo lugha sisi kwa sisi waswahili. Au nimedanganya hapo?Kiingereza mna kithamini, kiswahili lugha mama mnakidharau. Hii imekaaje!
Mswahili akijua kuongea kiingereza humwambii kitu, ni kama kapewa dunia yote amiliki 😂
✌️