Hakuna inatokea usiseme hivyo mimi mwenyewe nimeshawahi kupigana stendi bila kutarajia. Nilipanda gari basi nikaona haliondoki nikashuka kutafuta gari nyingine ile nimeshuka konda akanipiga kibao cha kisogoni. Kilichotokea ni hadithi mbayaSijui kwanini ila watu wanaopigana huwa nawaona wamepungukiwa na akili. 👎
Very unfortunate mkuu, pole sana. Huyo konda ni mgomvi.Hakuna inatokea usiseme hivyo mimi mwenyewe nimeshawahi kupigana stendi bila kutarajia. Nilipanda gari basi nikaona haliondoki nikashuka kutafuta gari nyingine ile nimeshuka konda akanipiga kibao cha kisogoni. Kilichotokea ni hadithi mbaya
Kama umepigwa utajisikia aibu. Lakini mimi yule konda nilimnyoosha sidhani kama atakuja kupiga mtu/abiria mwingine kisogoni. Kwa funzo nililompatiaVery unfortunate mkuu, pole sana. Huyo konda ni mgomvi.
Mimi Naomba kuuliza, ukimaliza kupigana unakuwa unajisikije?
Nchi imekuwa ngumu hiiInaonekana siku hizi makonda hawana mzaha kabisa na wamejizatiti kwenye Mafunzo ya martial arts na Judo 🥋
View attachment 2932622
Sawa mkuu pole na Hongera. Ila kama unajijua unahasira za hivyo, na una ngumi nzito jizuie ikibidi kufanya ugomvi.Kama umepigwa utajisikia aibu. Lakini mimi yule konda nilimnyoosha sidhani kama atakuja kupiga mtu/abiria mwingine kisogoni. Kwa funzo nililompatia
Ila makonda wengine wagomvi sana, kuna siku nimepanda ilikua asubuhi mfukoni sina hela ndogo m nna 10K tu nampa konda ananigomea ananilalamikia asubuhi yote hii chenchi atatoa wapi, nikamwambia hiyo sio kazi yangu, kazi yangu ni kukulipa nauli tu.Hakuna inatokea usiseme hivyo mimi mwenyewe nimeshawahi kupigana stendi bila kutarajia. Nilipanda gari basi nikaona haliondoki nikashuka kutafuta gari nyingine ile nimeshuka konda akanipiga kibao cha kisogoni. Kilichotokea ni hadithi mbaya
Ukimaliza unapata hiyo 200Very unfortunate mkuu, pole sana. Huyo konda ni mgomvi.
Mimi Naomba kuuliza, ukimaliza kupigana unakuwa unajisikije?
Safi sanaIla makonda wengine wagomvi sana, kuna siku nimepanda ilikua asubuhi mfukoni sina hela ndogo m nna 10K tu nampa konda ananigomea ananilalamikia asubuhi yote hii chenchi atatoa wapi, nikamwambia hiyo sio kazi yangu, kazi yangu ni kukulipa nauli tu. Akaja juu kweli ananiambia itabidi niende nae hadi mwisho wa gari, nikamwambia huo ujinga asithubutu kufanya, akasema patachimbika nikamwambia sisemi tena piga kelele ukimaliza hakikisha unanishusha napopaswa kushuka, alinishusha na hela akazira.