johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,007
Akikagua maeneo yaliyoathirika na Mafuriko jimboni Kawe mh Gwajima ameshangaa mbunge wa zamani Halima Mdee kwa miaka 15 alikuwa anafanya Kazi gani
Dr Gwajima anasema Halima Mdee hajafanya lolote Kawe lakini bado anasema anataka tena Ubunge wa Kawe
Gwajima amewataka Wananchi wa Kawe kumpuuza kabisa Halima James Mdee
My take; Mdee anawasumbua CCM na Chadema
Dr Gwajima anasema Halima Mdee hajafanya lolote Kawe lakini bado anasema anataka tena Ubunge wa Kawe
Gwajima amewataka Wananchi wa Kawe kumpuuza kabisa Halima James Mdee
My take; Mdee anawasumbua CCM na Chadema