Unamaanisha mbagala ni funga kazi kwa maneno machafu na kukera?😅Wakianza route ya mbagala mbona watasusa wengi
Niliwahi kuandika uzi kuhusu hili jambo lakini ulifutwa kinyama sana ! Uzi haukuomba hata maji ya kunywaJiwe aliharibu sana kuweka wanajeshi kuwa madereva mwendokasi.
Panda gari la feri - Mbagala mida ya mchana. Nenda kakae nyuma kabisa gari likiwa limejaa. Mkifika kona ya bandari mwambie Konda unashuka mivinjeni.Unamaanisha mbagala ni funga kazi kwa maneno machafu na kukera?
AhahahahaNiliwahi kuandika uzi kuhusu hili jambo lakini ulifutwa kinyama sana ! Uzi haukuomba hata maji ya kunywa
Yes !Ahahahaha
Uliandika enzi za Jiwe?
Muwe nao makini tu mnapowatukana hivyo kwani 90% ni Wajeda ( JWTZ ) na kuna Mmoja ni Dereva wa Basi za Morocco Kivukoni huko Jeshini ametokea Kikosi cha Mabondia na anapiga zile Ngumi za Kijeshi ( za Kuua ) tu na siyo hizi za huyu Mpuuzi wenu Mandonga ambazo zake zimekaa Kikomediani zaidi.
Mimi sijuthubutu kupayuka maana wangeona nina warekodi halafu wasingechelewa kunigeuzia kibao wana hasira kama mto wa kifuu maana jua kali sanaaTatizo Nini?amejaza sana?
Msishuke hiyo gari,ataendesha tu...
Ila Sauti yako tunaisikia mleta uzi unvyosisitiza "hajatukanwaaa"😅
Wengi wao watakuwa hawafiki kileleni ndio chanzo za hizo hasira zao.Kuna mmoja alirudisha gari gerezani tulikuwa tumeshafika fire tunaenda kimara kisa eti watu wamezuia mlango kufungukaa..?? hao madereva sijui wanajikutaga kina nanii yani ni moja wa wafanyakazi wapuuzi sana hii nchi utadhani magari ni yaooo.... wanajikuta na vihasira uchwaroo na kuzira kama wanawake.