Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Azania ni shule ilikuwa inaongoza kwa kuiba mitihani....wengi walikuwa wanapata point saba O level wakipelekwa shule kama mazengo enzi hizo za 1990s wanaishiwa kushika nafasi za mwisho na form six wakitahidi sana wanapata div four.

Huo sasa uzushi mkuu....ebu kuwa mkweli kidogo.
 
Kuna yule dogo aliepata 7 azania akaenda kusomeshwa bure Mzizima akalewa sifa akaishia kunywa pombe hivi anaitwaje? Nishamsahau!!!!

Pia kuna jamaa alipata 9 akaenda mzizima akapiga 3 akaona ngoja aende oxford kusoma,wale jamaa wakamwambia huna sifa za kujiunga hapa kwanza Afrika nzima kuna nafasi mbili tu,nadhani ni dr muhimbili sasa!
alikuwa anaitwa dr wenzi
 
hakika wewe ni member pia jina lako lazima lipo hapo. kuna Rama (monitor) nowadays mwalimu Kurasini Primary School, imenikumbusha mbali sana
Huyo jamaa Ramadhani(Monitor wa Class D) walikuwa wanamwita Dondola.
Nahisi kwa sababu ya kiuno chake kilivyo hususani akivaa suruali na mkanda.

Ila kuna jamaa fulani alikuwa anaitwa Mberwa Zahoro(naye alikuwa monitor class D) sijui yuko wapi? Kama maisha ya shule yatakua yamemshinda basi atakuwa sasa ni Tapeli.
 
Huyo jamaa Ramadhani(Monitor wa Class D) walikuwa wanamwita Dondola.
Nahisi kwa sababu ya kiuno chake kilivyo hususani akivaa suruali na mkanda.

Ila kuna jamaa fulani alikuwa anaitwa Mberwa Zohoro(naye alikuwa monitor class D) sijui yuko wapi? Kama maisha ya shule yatakua yamemshinda basi atakuwa sasa ni Tapeli.
Hahahahahahaaaa
 
Mimi nafikiri munazungumzia Azania ya Mwalimu Meja, mwalimu Kisamo,mwalimu KIsamo, .Enzi hizo ukiingia shule Meja anakiuambia kuwa maadui wenu wakubwa ni shule ya sekondari ya Tambaza, akawaleta akina Abass Kuka, George Best:yawn:, Rahim Lumelezi na wengineo, ukicheza npira hata ukitoroka darasani hupewi adhabu, nk nk

hahahahaaaa kweli ilikuwa vituko
 
Mkuu ni kweli huu mwaka,97, zilitoka point 7 mbili,mmoja ya huyo Kongosho na nyingine ni ya ustaadh mmoja hii alikuwa anaitwa Ahmad,ambaye ni Daktari kwa sasa,baada ya kumaliza Muhimbili,kama sikosei yupo MUHAS upande wa research,..

Nakumbuka huyo (Kongosho) alipata 100% kwenye mtihani wa mock, Maths, watu tulibaki midomo wazi, ilikuwa intake ya kukumbukwa sana..wakali walikuwa wengi ila baadhi kwa ufupi alikuwepo Katamba,nadhani yupo tigo,Cliff,Fungo now lect UDSM,Nagunwa huyu lect IFM kama ckosei..those backin dayz at Azania....nadhan Chizenga atamalizia wengine

Ah miye nilikuwa jangwani lakini naukumbuka sana wimbo wa shule ya Azania na namna Bob Leo (now an advocate) alivyokuwa anauimba: Azania, Azania, Azania our school. We look at you with pride. You are known far and wide and you are always our guide we will never forget you. .....Niendelee?
 
Ila najua mwaka 1997 ndio ulikuwa mwaka wa mafanikio kuliko mwaka mwingine wowote maana najua ukiacha Kongosho vijana wa mwaka huo zaidi ya 30 walienda Ilboru na wengine 20 walienda Mzumbe na wako very succesful kwenye maisha.

I am proud to be married to one of the 1997 Classess.
 
Ah miye nilikuwa jangwani lakini naukumbuka sana wimbo wa shule ya Azania na namna Bob Leo (now an advocate) alivyokuwa anauimba: Azania, Azania, Azania our school. We look at you with pride. You are known far and wide and you are always our guide we will never forget you. .....Niendelee?

Hahahaaa endele Caren
 
Je, unamkumbuka KABOKA mtoto wa Mbagala?
namkimbuka yule tuliyekuwa tunamtanua kwao pemba mnazi akifika anaoga na kuanza safari ya kuja shule, kwa mara ya mwisho 2011 alikuwa kigamboni anasubiri kupangiwa kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom