Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 519
- 263
Mimi nafikiri munazungumzia Azania ya Mwalimu Meja, mwalimu Kisamo,mwalimu KIsamo, .Enzi hizo ukiingia shule Meja anakiuambia kuwa maadui wenu wakubwa ni shule ya sekondari ya Tambaza, akawaleta akina Abass Kuka, George Best:yawn:, Rahim Lumelezi na wengineo, ukicheza npira hata ukitoroka darasani hupewi adhabu, nk nk