Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

>Mwalimu Songoro wa BK a.k. makabati.
>Daladala la Shela Beach ubungo posta mwanafunzi wa Azaboy ata usipokuwa na nauli unaenda school na kurudi.
>Tuition kwa Emmi
>Kuna teacher alikuwa anafundisha hesabu ngumu pale magomeni white anaitwa Marco
>Ukikutana na kwayu kama umetoroka unaelekea maeneo ya tuition zilipo au unaenda kununua vifaa vya shule unasamewa apo apo.
>Kuna headmaster msaidiz tulikuwa tuna muita Robot sijui siku iz yupo wapi?


Kweli mmetukumbusha mbali.

Dah! Shela beach, umenikumbusha longi kichizi wangu.
 
>Mwalimu Songoro wa BK a.k. makabati.
>Daladala la Shela Beach ubungo posta mwanafunzi wa Azaboy ata usipokuwa na nauli unaenda school na kurudi.
>Tuition kwa Emmi
>Kuna teacher alikuwa anafundisha hesabu ngumu pale magomeni white anaitwa Marco
>Ukikutana na kwayu kama umetoroka unaelekea maeneo ya tuition zilipo au unaenda kununua vifaa vya shule unasamewa apo apo.
>Kuna headmaster msaidiz tulikuwa tuna muita Robot sijui siku iz yupo wapi?


Kweli mmetukumbusha mbali.

Hahahahaaaaaaa
 
Hao unao watafuta walikuwa na mchango gani kitaifa mpaka ukawauliza thinkers hapa jukwaani?
 
Huyo jamaa Ramadhani(Monitor wa Class D) walikuwa wanamwita Dondola.
Nahisi kwa sababu ya kiuno chake kilivyo hususani akivaa suruali na mkanda.

Ila kuna jamaa fulani alikuwa anaitwa Mberwa Zahoro(naye alikuwa monitor class D) sijui yuko wapi? Kama maisha ya shule yatakua yamemshinda basi atakuwa sasa ni Tapeli.

Ijumaa last week nimekutana na Soga Nyalubuli Iringa Mjini, siku hizi ni agent amejiajiri huko, akaniambia alhamisi alikuwa na Omari Big, yeye siku hizi ni meneja Tanesco, Iringa. It was fantastic to meet old lad.
 
King Kong III,

Yule jamaa aliyepiga Div.I point 7 na kuchukuliwa na Mzizima kusoma free Kimtaa alikuwa akiitwa Dk. Wenz, alikuwa maarufu sana pale Magomeni Makuti Mtaa wa Fundikira akiwapigia wadogo tuition pale shule ya msingi Lions Magomeni.

Jamaa alipofukuzwa MZIZIMA kutokana na ulevi, uzinzi na Utoro uliokithiri alikwenda magomeni kuanzisha kituo cha tuition na alikuwa na jina saaaana pale na kutengeneza mkwanja ile mbayaa, but later 2005 alifanya paper-PCM as private Cand.pale Kinondoni Muslims na akapata Div.I.

Baada ya hapo sikupata habari zake kwa muda mrefu hadi mwaka 2010 nilipomuona stand ya dala dala Usalama-Magomeni akionekana kama chizi fresh hivii, ukimuona utamsikitikia na kumuonea huruma, sijui nini kilimsibu yule bwana jamani. Hata Mkuu wake Mzee Kwayu akisikia habari hii kuhusu jamaa atalia sana coz alikuwa akimkubali saana.

Nakumbuka yule mshikaji alitabiri kuwa mwaka wetu lazima Div.I ya 7 itoke (lebo ya Blue) na kweli kupitia jamaa yetu Lordguard utabiri wake ukatimia...kweli msela alikuwa kijukuu cha mtume wazee.

Aza Boys bado tunaiwakilisha huku kitaa na Tanzania kwa ujumla japokuwa matokeo ya mwaka huu yameniudhi saana, yaani Div.Zero 146 jamani??? Shame on these kata students.
 
Wana Aza Boyz, Hususani waliosoma mwaka 1999-2002 mnamkumbuka jamaa mmoja alikuwa akiitwa Charles Lekule?? Jamaa katangulia mbele ya haki hapo March 2013 aakiwa Assistant Lecturer pale IFM. Mungu amlaze mahala pema peponi, Ameen
 
Wana Aza Boyz, Hususani waliosoma mwaka 1999-2002 mnamkumbuka jamaa mmoja alikuwa akiitwa Charles Lekule?? Jamaa katangulia mbele ya haki hapo March 2013 aakiwa Assistant Lecturer pale IFM.

Mungu amlaze mahala pema peponi, Ameen

Alikuwa akisoma darasa/mkondo/mchepuo gani? alikaa hostel? Mungu ampumzishe kwa amani
 
Alikuwa ni bonge then Mnene, kwa wanaukwata Azajangwa yeye pia alikuwa member mzuri. Alikuwa anasoma madarasa ya chini (Science-O level) ila pia Advance kasoma PCM pale pale Azania (2003-2005). Pale hostel karibu na room ya Yengera kakaa saana (o-level and A-level)

Alikuwa akisoma darasa/mkondo/mchepuo gani? alikaa hostel? Mungu ampumzishe kwa amani
 
Kaka imenikumbusha Mzee Valonge. Ndiye teacher wangu wa form one P science 4!(nimeweka hivyo makusudi kwani selection tulizianza form three! Actualy nilimaliza pale form 4 PSc4).

Alinifundisha vizuri jinsi ya kutafuta gravitational constant kwa kutumia pendulum bob miaka hiyo dah! Yupo wapi mzee wetu huyu miaka hii?

U mida mingine mudi alikua nakikaribia kumaliza pindi anajifanya ana state law flani mfano ohms law alafu akikaribia mlango anasema at this particular juncture......

anakuwa ashawapata masela wa azaboy wanaomkimbiaga..mnamkumbuka mzee valonge wa physics lab alikua anawapa mbata(piga makofi) watu walio kuwa wanatetemeka kwenye kuunga vifaa wakati wa practical,bila kusahau vituko vya mlevi tokyo...

juzi kati nlimuona pale bar ya polisi msimbazi night yuko bwiii kama kawa...
 
Ofisa, umenikumbusha mbali sana, Dotto Athuman alikuwa classmate wangu drs Q, kwa sasa anapiga kazi TBC-Headquarter. Nakumbuka form III Doto aliiwakilisha Dsm kwenye English competition kule Uganda na kurudi na zawadi ya simu,masela walimuona kichwa sana.Kitambo sana guyz!
 
wapo wapi kina salum mapua,albert chissamba,onyango milton,erick masau,idd banda,mbaraka abdalah
 
Back
Top Bottom