Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Machinga complex imejaaYAANI MJI UMECHAFUKA SANA AFADHALI, SISI WAENDA KWA MIGUU TULIKUA TUNAPATA SHIDA SANA KUTEMBEA, HAKUNA NJIA YAANI.
TENA KAMA WANACHELEWA, HAWA WATU WAENDE MACHINGA COMPLEX PALE. SISI TUTAWAFUATA HUKO.
Hilo watajua wenyeweHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Haswa pale IFM kuna vibanda vya mama ntilie hatari sana.Hii safi. Ilikuwa too much...
kabla haujakataa jambo inafaa uwe na uthibitishoHuu ni uongo hakuna kitu kama hicho Dar.
Urafiki na Shetani ni wa mkatabaGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Bring back our Dar CityGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Hawajui kuwa lengo lake ilikuwa awatumie waandamane ili jamaa atawale kipindi kirefu.Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Kwa taarifa yako JPM kabla hajafariki ziara yake ya mwisho Dar alishaongelea hili kuwa kuna uganganyifu wenye maduka wanafunga ila bidhaa wanawapa watu kuuza nje na serikali wanapoteza pesa nyingi katika kodi za maduka. Hoja yako ya pile kuwe eti wawekezaji hawana limit sio kweli Mama kasema ziko taratibu za kuajiri lakini kuna key positions mwekezaji anahaki ya kuweka watu anaowaamini yeye na nafasi zingine ziende kwa mujibu wa taratibu. Na katika hili kusema hakuna ajira wakija wawekezaji sasa wasipokuja ajira zitatoka wapi? Majiji yote hawaruhusu vibanda hovyo mtaani waende soko lao la wamachinga mtu unashindwa hata kutembea barabarani.Wenye nguvu ya fedha washafanya Yao tena,
Ndiyo tunajua, kila kitu lazima kiende Kwa utaratibu, Labda niulize Kwa Mleta uzi, Je Hilo gari linalotangaza halisemi mbadala wa hao wenye vibanda wanapaswa wapelekwe wapi?
Kama ndivyo, tayari hili ni kosa lingine kubwa baada ya lile la Kwanza la makampuni ya kigeni yanayokuja kuwekeza nchini hayatakiwi kuwekewa limiti ya wafanyakazi wanaotakiwa kuja nao kutoka makwao ili kufanya kazi kwenye kampuni hizo za kigeni!!
Hilo ndilo kosa kubwa kuliko mengine yote ambayo yameendelea kuwepo Wakati huu,
Watanzania mtegemee kukosa ajira kwenye makampuni yote ya kigeni na hata ysliyowekeza tayari mtaanza kutimuliwa mdogomdogo na wageni kuletwa kufanya kazi hizo
Yetu macho
Pole sana Sukuma GangKichaa mama yako
Mkuu, wakale wapi aisee, mbona kama unachuki nao Sana mkuu