VETA wamemtakia Heri ya Kuzaliwa Rais mpaka leo hii tangazo lipo kwenye web yao

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Apr 6, 2021
265
241
Hivi ni sahihi kuendelea kuwa na Tangazo hilo mpaka leo? Mie ninafikiri Tangazo la hivi sio baya kutolewa just at the same Day kwenye Media na kisha siku zinazofuata basi lisiwepo! Haid nimejisikia vibaya pengine Taasisi yangu nimekosea kutoliweka kwa web Tangazo hilo! Twampenda Rais wetu lakini matendo yetu sasa yanaanza kuwa kufuru!
 
Nadhani kiserikali hili jambo halifai. Mambo ya birthday mamegineyo binafsi yasiingizwe kwenye kwenye miamala au taratibu za kiserikali. Athari yake yataanza mashindano baina ya idara za serikali nani atatoa pongezi bora kuliko wengine.
 
Hivi ni sahihi kuendelea kuwa na Tangazo hilo mpaka leo? Mie ninafikiri Tangazo la hivi sio baya kutolewa just at the same Day kwenye Media na kisha siku zinazofuata basi lisiwepo! Haid nimejisikia vibaya pengine Taasisi yangu nimekosea kutoliweka kwa web Tangazo hilo! Twampenda Rais wetu lakini matendo yetu sasa yanaanza kuwa kufuru!
Akimaliza kulisoma wataliondoa.
 
Nadhani kiserikali hili jambo halifai. Mambo ya birthday mamegineyo binafsi yasiingizwe kwenye kwenye miamala au taratibu za kiserikali. Athari yake yataanza mashindano baina ya idara za serikali nani atatoa pongezi bora kuliko wengine.
Kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom