Very soon tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya

Kwa speed hii wanayokwenda nayo, nashawishika kuamini kuwa Bado siku chache sana tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya.....

Wenye chama Chao watajitokeza mapema tu, hakika vita vya panzi furaha kwa kunguru. Wacha wararuane....
[/QUOTE)
Mzee wa bakora hakosekanimo🤔.
 
ila sijui kwa nini magufuli alifanikiwa kuwahadaa wadanganyika kuwa tulikuwa kwenye right track
Ubabe ndio uliomsaidia,watanzania wengi uwezo kutafakari mambo ni Mdogo hivyo ukiwaachia Uhuru wakutafakari wao wenyewe wanatapatapa.
So cha kufanya ukiwasaidia ww ukiwa kiongozi na ubabe kidogo umeshamaliza mchezo unakuwa unawaswaga tu kama kondoo..
 
Back
Top Bottom