Kwa speed hii wanayokwenda nayo, nashawishika kuamini kuwa Bado siku chache sana tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya.....
Wenye chama Chao watajitokeza mapema tu, hakika vita vya panzi furaha kwa kunguru. Wacha wararuane....
[/QUOTE)
Mzee wa bakora hakosekanimo🤔.
AiseeeKwa speed hii wanayokwenda nayo, nashawishika kuamini kuwa Bado siku chache sana tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya.....
Wenye chama Chao watajitokeza mapema tu, hakika vita vya panzi furaha kwa kunguru. Wacha wararuane....
Na mimi kidogo niplay back kumbe ilikuwa liveBasi nikajua nimesikia vibaya au lah
Imekuwaje kwani?Na mimi kidogo niplay back kumbe ilikuwa live
Hahaaa!ccm saivi ugali ni wamoto, mboga yamoto.
Avatar yako niipendayoImekuwaje kwani?
Nihadithie sasa ilivyokuwaAvatar yako niipendayo
Mihadithieni basi jamaniBasi nikajua nimesikia vibaya au lah
Yaani ni hivi, CCM kwa moto saaaana wanataka kugawana fito
Ubabe ndio uliomsaidia,watanzania wengi uwezo kutafakari mambo ni Mdogo hivyo ukiwaachia Uhuru wakutafakari wao wenyewe wanatapatapa.ila sijui kwa nini magufuli alifanikiwa kuwahadaa wadanganyika kuwa tulikuwa kwenye right track
😂😂😂Shida ni connection