Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Nimemwona kapendeza
<br />Hata avae kanzu na koti na malapa ukweli una baki pale pale UDINI chadema hautasafishika, watanzania wameisha lijua na wanakipotezea chama ambacho ni tawi la CDU, christian democratic union.
Great thinker anajisema? kama na wewe ni great thinker basi wanaJF wote ni ma great thinker.napita thread ina wenyewe hii! Najuuta kufungua maana kama kariakoo full mipasho si mjadala kwa great thinkers!
<br />Kiongozi wa kambi ya upinzani leo amevaa vazi la kanzu ambao ni vazi rasmi la ibada la waislam, hii ni ishara nzuri na strategy nzuri kwa mwenyekiti wa chama kilicho chafuliwa na siasa chafu za udini
<br />Haswa halafu ukimsachi mifuko ya kanzu hukosi pilipili au ndimu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Wakuu hii noma. Tujaribu kuwa wastaarabu kidogo!
Umesoma heading yenyewe inasemaje, unategemea nini kwenye thread kama hii zaidi ya kusema kapendeza.Wakuu hii noma. Tujaribu kuwa wastaarabu kidogo!
Kwani kanzu ni vazi la Waislaam tu? mbona mapadri wa kikatoliki wote wanavaa kanzu, Jee, na wao ni Waislaam? awache unafik.
Bilicanas na kanzu wapi na wapi? Unanchekesha!
Hata avae kanzu na koti na malapa ukweli una baki pale pale UDINI chadema hautasafishika, watanzania wameisha lijua na wanakipotezea chama ambacho ni tawi la CDU, christian democratic union.
Heeh!! sasa unalazimisha kanzu ionekane ni nguo kwa ajili ya dini fulani tu? Kama hujamaanisha kuwa ni vazi la dini flani kwa nini umemind kwa kuhusisha vazi hili husika na ukumbi wa mtajwa?? Y dont u rise a doubt kwamba kavaa vazi la wahaya. Think like lawyer.Kwani kanzu ni vazi la Waislaam tu? mbona mapadri wa kikatoliki wote wanavaa kanzu, Jee, na wao ni Waislaam? awache unafik.
Bilicanas na kanzu wapi na wapi? Unanchekesha!
Bilicanas na kanzu wapi na wapi? Unanchekesha!
Mbona unapenda kuchekacheka sana.Wewe ambae si legelege mbona huna hata ujumbe wa nyumba kumi? unanchekesha
kiongozi wa kambi ya upinzani leo amevaa vazi la kanzu ambao ni vazi rasmi la ibada la waislam, hii ni ishara nzuri na strategy nzuri kwa mwenyekiti wa chama kilicho chafuliwa na siasa chafu za udini