Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,429
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , mtu anayetajwa kama muasisi wa siasa za Kisasa kwenye eneo la maziwa Makuu , leo tarehe 14/10/2023 amehudhuria Ibada maalum kwenye kanisa la TAG REVIVAL CHURCH , Kinondoni .
Ibada hiyo Maalum ina lengo la kuweka Jiwe la msingi kwenye Ujenzi wa Kanisa la Kisasa .
Ibada hiyo Maalum ina lengo la kuweka Jiwe la msingi kwenye Ujenzi wa Kanisa la Kisasa .