Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
<br />Kiongozi wa kambi ya upinzani leo amevaa vazi la kanzu ambao ni vazi rasmi la ibada la waislam, hii ni ishara nzuri na strategy nzuri kwa mwenyekiti wa chama kilicho chafuliwa na siasa chafu za udini
<br />
Mkuu hawajakichafua chama bt wanajaribu kukichafua, hawawez lakin!