jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
okey bbyto, whatever you find and feel good for me, I will appreciate.Manake ni mengi, ngoja niyagawanye mengine nkupe wewe mengine nimpelekee
waiting eagerly.
okey bbyto, whatever you find and feel good for me, I will appreciate.Manake ni mengi, ngoja niyagawanye mengine nkupe wewe mengine nimpelekee
hahahahahaa, hamjawaelewesha..
Afadhali unautendea haki ubavu wako...wengine siujui wanafikiri tuliwazawadia tuuu
kwani valentine's day unaelewaje wewe? ni upendo wa mutu na mutu bila kuangalia jinsia.Maajabu ya JF mwanaume anamtag mwanaume mwenzake. Heee!
Wanaelewewa basiii...au shem unamaanisha kufeli kwa hadhira ni uzembe wa fanani?hahahahahaa, hamjawaelewesha
Hii zama za magufuli we bado upo kwenye ufahamu wa enzi ya mwalimuuukwani valentine's day unaelewaje wewe? ni upendo wa mutu na mutu bila kuangalia jinsia.
Fanya fastaaa tusicheleweNgoja nijipange pange hapa tujue tunaenda wapi leo.
shem wewe iko akili mingi, umeshajibu swali kabisa.Wanaelewewa basiii...au shem unamaanisha kufeli kwa hadhira ni uzembe wa fanani?
Usijalii ni ngumu kuorodhesha wote nawe umo piaMbona mm sopo kwenye list?![]()



imebadilikaeeee, asante mkuu kunifumbua machoHii zama za magufuli we bado upo kwenye ufahamu wa enzi ya mwalimuuu
Ila kwa leo nimeshachelewa...labda inayokuja ileeeshem wewe iko akili mingi, umeshajibu swali kabisa.
Happy valentines dia"love is all we need"
we unaonaje..?Unajipendekeza tu. Unauhakika umemuwish kutoka moyoni???? Au kick tu. Happy Valentine's TANZANIA ya karne Hii......
hakuna kuchelewaIla kwa leo nimeshachelewa...labda inayokuja ileee