Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,103
Hizi ni tabia za wanaume wa dar,ina maana wote ni wasukuma?
Wasukuma bwana, badala ya kurudi na msosi anarudi na mauwa
Wasukuma bwana, badala ya kurudi na msosi anarudi na mauwa
Ushaitwan tumeupenda sisi.... Tatizo liko wap= Valentine's
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Upuuzi mtupu, mnasherehekea ushaitwan.
Ukiingia tema mate tu usikojoe.....maana ukikojoa asubuhi utapiga pasi godoroUkiona choo ndoton jua mtego huo usingiee...

AhahahaUkiona choo ndoton jua mtego huo usingiee...
Ukiona choo ndoton jua mtego huo usingiee...
IshaAllahI love you my wii, yours will not be as simple as this, I will come personally with a lot of gifts to cherish your day.
Kisses mama to yuuuuu mkataba wa siku moja ya leo tu si unakubaliwa?Kiss kissBonny
Leo ni mwendo wa maloveee tu
Kisses mama to yuuuuu mkataba wa siku moja ya leo tu si unakubaliwa?



achana namiiiachana namiii
umesema mwenyewe kosa langu liko wapi?
Anatafutwa wa kuchunwa hapo,ukijiingiza tu utasikia,baby nitumie basi elfu 50 niende salon.
leo ntakua nimejifichaLeo wapi?