Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Mama mama nimekuoa, Wacha mumeo nikatafute pesa... Niendapo kamwe wewe hapakufai... Mke wanguu tulia nyumbani
sitaki kusikia haya maneno kwa week hiz mbili niache mie moyo wangu ufanye kazi yake.
 
Sumbai..mgiriki..richpol... na jambazi embu piten humu!! Bila kumsahau kipenzi changu kibo 10
 
Happy Valentines Day to all Jf Members kwa ujumla wake bila ya kuwasahau

N.B na wengine wote nawapenda sana

Samahani nidadavulie huo usemi hapo. Maana umenichanganya sijui kiswahili kimenipiga chenga au ni vipi
 
Acha wenge usemi upi sasa hapo?
Happy valentine to all inamaanisha heri ya valentin wote halafu baada ya hapo unataja tena majina ambapo hayo majina tayari yanaingia moja kwa moja kwenye " wote". Mwisho tena ukarudia kile kile cha juu
 
Happy valentine to all inamaanisha heri ya valentin wote halafu baada ya hapo unataja tena majina ambapo hayo majina tayari yanaingia moja kwa moja kwenye " wote". Mwisho tena ukarudia kile kile cha juu
Kwaiyo unatakaje?
 
HeavenSent chochonde mamaa najua hupendi makuu ila hii valentine isitupite
 
Back
Top Bottom