Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Happy Valentines Day to all Jf Members kwa ujumla wake bila ya kuwasahau
*jje's
*Toto Tundu Stunter
*Faiza fox (hasimu wa wengi a.k.a mama wa ujinga)
*Miss chagga (huyu kasema atawachuna wanaume mpaka mbaki mifupa kisa ile ada ya ex Bf wake)
*Asprin
*Mshana (nakuja kutibu kucha I see)
*Valentina (mamaa wa kulia ndani ya Range)
*HR66 (kuna kukosea na kusameheana,hata kama hujaomba msamaha nimekusamehe)
*ISIS
N.B na wengine wote nawapenda sana

uwiiii, nilikuwa sijaona hapa my wiii,

happy Valentine to you too. I love you though you have something you are doing behind my back 😉
 
mhhhhh, mbona una maneno sana na huyu bae wangu?
Hakuna binamu kuna kamsemo ka kiswahili chasema "jihadhari kabla ya hatari" ndio nilikua namtahadharisha tu
 
Onesheni mapenzi mubashara kila siku jamani.. sio valentines day tu basi leo guest zoteee na hotel full ...na bora imekuwa siku ya kazi japo najua mmeshaweka booking kama nawaona hiviii afe kipa afe beki ...
HAPPY VALENTINES DAY EVERBODY..NAWAPENDA WOOTE
 
Back
Top Bottom