Ya kweli haya unayoyasema ndugu!
Ok!..nyc to hear that,do you have a patner?Kweli kabisaa
We tunakutana sangapi sasa banaJesus..!!
Si ungemuulizia kule PM,mbona unataka umpe presha nanii!.We tunakutana sangapi sasa bana
MeWho wanna be my valentine_?![]()
![]()
Ooops!.msalimie valentines wako.Am married chile!
No. I need opposite sex

si 20:00 kama kawaida? Au umeghairi muda huo?We tunakutana sangapi sasa bana
uwiiiiii hutoki home leo nakwambia. hata kile kikoba siendi tena mie na weyesi 20:00 kama kawaida? Au umeghairi muda huo?
yaan hakuna cha pm wamenisaidia sana kwa kuwa leo hatoki mtu home.Si ungemuulizia kule PM,mbona unataka umpe presha nanii!.
Mwache atoke tu,ntakuja mimi uko kwako au unikute pale "tukutane otel."uwiiiiii hutoki home leo nakwambia. hata kile kikoba siendi tena mie na weye
Mama mama nimekuoa, Wacha mumeo nikatafute pesa... Niendapo kamwe wewe hapakufai... Mke wanguu tulia nyumbaniuwiiiiii hutoki home leo nakwambia. hata kile kikoba siendi tena mie na weye
hahahahahahah usiniharibie mambo yangu mkuu, ujue ndo tunapaua nyumba hata finishing bado.Mwache atoke tu,ntakuja mimi uko kwako au unikute pale "tukutane otel."
Here i am,ila ni kwa valentine tu.Sawa?No. I need opposite sex![]()
Mimi nmekwambia kwa siku moja tu,ila akikuacha bwana kaka njoo milele kwangu kuna nyumba ntakununulia bati lake lishapauliwa.hahahahahahah usiniharibie mambo yangu mkuu, ujue ndo tunapaua nyumba hata finishing bado.
sasa usije nitilia mchanga kwa kitumbua.