valuablecock
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 783
- 804
acha kumkatisha matumaini...uwiiii ni kama vile hivyo
acha kumkatisha matumaini...uwiiii ni kama vile hivyo
hahahahahaha wapi huko mkuu ChachaNia nishatangaza zamani nasubiri majibu tu!.
unamaanisha nini? jieleze ueleweke mkuu acha utani na mali za watuacha kumkatisha matumaini...
uwiiiii jaman jaman, bae yuko bze ati muacheniHahaha,ngoja "stunter" aje.
hahahahahahah too late mkuu.kwa jje's
Hata pantoni linastaafu ¸ alafu mimi na wewe itakua ni kwa siku moja tu!..Ile tarehe ngapi kweli?..uwiiii ni kama vile hivyo
sitaki kunufaisha watu kwa ghani zangu adimu.Labda nihamie kule kwenye ubinafsi.Sitaki watu wakatumia mistari yangu pasipo ridhaa.umeghairi au huna nafasi? jieleze vzr bhana
mkuu embu kuwa wazi, hiyo tarehe unataka kumuazima kwa ajili ya shughuli gani haswa?Hata pantoni linastaafu ¸ alafu mimi na wewe itakua ni kwa siku moja tu!..Ile tarehe ngapi kweli?..
haaaaa rudia tena eti? mimi na wewe ni side plates ama?Hata pantoni linastaafu ¸ alafu mimi na wewe itakua ni kwa siku moja tu!..Ile tarehe ngapi kweli?..

uhamie wapi vile mbona sikuelewisitaki kunufaisha watu kwa ghani zangu adimu.Labda nihamie kule kwenye ubinafsi.Sitaki watu wakatumia mistari yangu pasipo ridhaa.
Mbona io roho mbaya zamani hukua nayo,Ulikua unatupa tu mistari!..Au kwa vile ni mwezi wa nanii unataka ule peke ako.sitaki kunufaisha watu kwa ghani zangu adimu.Labda nihamie kule kwenye ubinafsi.Sitaki watu wakatumia mistari yangu pasipo ridhaa.
Kumbe unajua alafu unaigiza,Oops hii kitu haikutakiwa iwe exposed lakini basi si umeshaiweka open!..haaaaa rudia tena eti? mimi na wewe ni side plates ama?
usijali, mistari itakufuata hukohuko shaka ondoa !Me mambo ya kunufaisha wengi sina muda nao. na sito taka uje hapa kutoa mrejesho wowote kwa yeyote.Itakuwa "our little secret"uhamie wapi vile mbona sikuelewi
mkuu watu wataninukuu na kwakuwa sheria zetu za haki miliki sio rafiki, wataenda kupublish mistari yangu kwenye vijarida vyao pasipo idhini yangu.Mbona io roho mbaya zamani hukua nayo,Ulikua unatupa tu mistari!..Au kwa vile ni mwezi wa nanii unataka ule peke ako.
Hahaha!..Let's see itakuaje.Alafu mambo ya siri ndo nini.Hamjui huu mwezi kila kitu MUBASHARA.usijali, mistari itakufuata hukohuk😵ndoa shaka!Me mambo ya kunufaisha wengi sina muda nao. na sito taka uje hapa kutoa mrejesho wowote kwa yeyote.Itakuwa "our little secret"
hayo mambo ya mubashara waache wafanye ambao hawajapevuka badoHahaha!..Let's see itakuaje.Alafu mambo ya siri ndo nini.Hamjui huu mwezi kila kitu MUBASHARA.