barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Bado anachangamoto ya ziada kufika alipo ITV kwa kua kwanza Azam TV wao wanapatikana katika vizimbuzi vyao tu tofauti na hao ITV wanaopatikana karibia kila kizimbuzi cha hapa nchini
Tatizo naloliona Azam Tv ni kwamba hawatakuwa wakiweka mezani mada ambazo jamii inataka kuzisikia, mfano matukio ya mwaka huu kama mambo ya katiba pendekezwa, uchaguzi mkuu, daftari la kupigia kura n.k, tatizo lao litakuwa ni kuleta studio wadau wa pro sisiemu badala ya neutrality. Nihisivyo mimi, Azam grp kuna kau-sisiemu.
Ambaye atabisha na kudai nimeleta siasa humu, GO AND EAT A D***!