Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Aisee! Utafikiri Studio za Aljazeera. Shikamoo Bakhressa.

Mkuu utanivunja mbavu, eti shikamoo Bakhresa? Hivi hili jamaa kwenye lile jarida la wamarekani kuhusu matajiri wa Afrika limo kweli au wamelisahau? Mungu amwongezee tu maana jamaa anawekeza kwa wabongo wenyewe na kutoa ajira za kufa mtu. Achana na akina nyoka wa makengeza wanaiba hela na kwenda kuzificha ulaya, shen.zy type kabisa!!
 
Kakulipa Tsh Ngapi Kuja KUMTOLEA Mapovu Ya Kumtetea Humu? Utake Ukatae Dr. Dau Ni Mdini, Narudia Ni Mdini Namalizia Ni Mdini Pure.

Mkuu,

Mimi simjui wala hanijui ila ninachokisema ni kuwa objective, kwa taasisi kama NSSF mtu mmoja kufanya maamuzi ya kuajiri sioni kama tuko objective. Taasisi ya mtu mmoja nakubaliana na wewe lakini taasisi kubwa kama NSSF sioni kama ni sawa pamoja na madudu tuliyonayo Tanzania

Ubarikiwe mkuu
 
Pamoja na ubora wa vifaa ambao unasisitizwa sana katika uzinduzi huu, utendaji kazi hasa katika utangazaji, utafutaji na uwasilishaji habari ni vya muhimu zaidi.

Habari zinazofuatiliwa na zenye tija kwa jamii ndicho kinachotambulisha chomo kizuri cha habari.

kazi kwenu Azam Media.

Tatizo lao ni wadau wa sisiemu, ili waweze kava trax zao!
Alafu hii studio ndo imesababisha kuanzisha vifurushi na bei tofauti??
Anyway, hongera zao Azam.
 
Lakini JK alitakiwa awe Kahama Shinyanga kwenye maafa ya mafuriko ambako watu zaidi ya 40 wamekufa na madhara mengine makubwa. Hiyo kazi ya kufungua studio angemwachia makamu au kama ni lazima iwe yeye basiingeahirishwa. Kama ingekuwa ni wakati wa msiba wa Komba angeacha kwenda msibani na kwenda kufungua studio. Waliokufa Shinyanga nao ni watanzania kama Komba. Aende akasukume harakati za matibau na misaada kwa waathirika. Asije akatukumbusha ya Mwinyi wakati ule watoto wa Shauritanga walipoteketea kwa moto yeye aliendelea kutembelea kiwanda cha bia kana kwamba hakuna balaa lililotokea. Malalamiko yalipotokea ikaelezwa eti ratiba ilikuwa imepangwa. hata hivyo hoja ikawa je kama siku hiyo angekufa mwanae au mkewe angeendelea na ratiba ya kutembelea kiwanda cha bia? Hivyo hata hili la JK kwenda kuzindua studio badala ya kwenda kwenye maafa wasitwmbie habari ya ratiba. Ameishia kutuma salam za rambi rambi tu redioni. Haitoshi aende field

Kwa hiyo akienda watafufuka?
Acha kulaumu laumu, kama vipi geuza ukoo wako kuwa nchi alafu wewe kuwa rais kisha jipangie ratiba utakavyo!
 
nna mahaba nae.

kampe 0715....
Naskia ndo ugonjwa wake...
Hata babu ssssssyaaa aligombana nae kwa hako kaugonjwa ka 0715...
Kuna kamanzi fulani ka mkuu kalikuwa kanakaa shimo laudongo kameshavuta siku mingi kwa kale kaugonjwa ketu. Ila kaliacha katoto kadogo babu alikula 0715... Mkuu akaskia ndo ikawa bifuuu mwishowe segreyyyaaa!!!

N.B: NASKIA KUMBE NA HAKO KATOTO KALIKOZALIWA NA KENYEWE KALIVUTA MANA MAMA HAKUWA NA KINGA
 
kampe 0715....
Naskia ndo ugonjwa wake...
Hata babu ssssssyaaa aligombana nae kwa hako kaugonjwa ka 0715...
Kuna kamanzi fulani ka mkuu kalikuwa kanakaa shimo laudongo kameshavuta siku mingi kwa kale kaugonjwa ketu. Ila kaliacha katoto kadogo babu alikula 0715... Mkuu akaskia ndo ikawa bifuuu mwishowe segreyyyaaa!!!

N.B: NASKIA KUMBE NA HAKO KATOTO KALIKOZALIWA NA KENYEWE KALIVUTA MANA MAMA HAKUWA NA KINGA

Umeshamuuliza mama'ko kuhusu mtandao aliokuwa akitumia baba'ko? maana nna uhakika baba'ko humjuwi na mpaka sasa umeshaoneshwa mababa kama sita hivi na wote unaambiwa "haya mwamkie baba'ko".

Hapo sasa!
 
Tena Hapo NSSF Kwa Dr. Dau Ndiyo Balaa Bora Hata Ya ( Azam/Wadini Media ).Kwa Dau Ukifika Tu Kuuliza Kutuma Maombi Kwanza Pale Pale Mapokezi Unaulizwa Swali La Kizushi La Kuhusu Jina Lako Na Ole Wako Uanze Kusema Naitwa Frank Utaona Jinsi MIMACHO Inavyotolewa Kwako Lakini Ukitaja Jina La Nabii Suleiman Utaona Unavyopokelewa Kwa Bashasha Na Unaweza Hata Ukapewa Na Nauli Ya Kurudia. Ukweli Ndiyo Huu Hata Kama Mtachukia! Mimi Nawapasulieni Tu Ukweli.
stress za kukosa kazi zitakuua wewe pimbi
 
umeshamuuliza mama'ko kuhusu mtandao aliokuwa akitumia baba'ko? Maana nna uhakika baba'ko humjuwi na mpaka sasa umeshaoneshwa mababa kama sita hivi na wote unaambiwa "haya mwamkie baba'ko".

Hapo sasa!

hahaaaaa usipate presha mtotooo.... Kwani umeambukizwa... Umenasa... Usijali dozeeee skuizi inapatikana bila sheeeda.. Mpe mkulu 0715... Hiyooo na maisha yako yaende vizuri tu.
 
Back
Top Bottom