Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Hongera Azam media. Nayaona mapinduzi katika tasnia ya habari yanakuja.
Lakini jamani tuwe wakweli kidogo na tuzingatie uhalisia. Bilioni 53?! Kweli!? Yaani milioni 53,000?!

Mkuu....nadhani hiyo inajumlisha Pamoja na vifaa vya STUDIO....
 
Kuajiriwa Kwangu Na Rais Wangu Kagame Kunanitosha Na Natekeleza Tu Majukumu Yangu Bila Hofu Yoyote. Nyie Hamshangai Tu Nipo Humu 24/7 Usiku Na Mchana Lakini Nyie Mnahangaika Kuamka Asubuhi Kwenda Mjini Kuhangaikia Mshahara Wa Tsh Laki 7 Ambao Ukikatwakatwa Take Home Yenu Inakuwa Tsh 320,000/=! Tena NINA WASANIFU KULIKO MNAVYODHANI Humu Jamvini. Mavaluvalu Wakubwa Nyie.
Kumbe umeajiriwa nilidhani una mashughuli yako binafsi kumbe umeandikwa kibarua.
 
Naona thread imegeuka sasa kuwa ya members kupigana vijembe,,,,,,,,,, Watu wanajinadi kwa kaz zao, wenzangu na mimi tusio na kazi!!!!!!
 
Rais Kikwete leo asubuhi ameifungua rasmi studio ya kisasa kabisa ya Azamtv. Akihojiwa na Tido Mhando ambaye ni naibu CEO wa Azamtv, Rais amempongeza sana Bakharesa kwa uwekezaji huo mkubwa kabisa hapa East Africa. Uwekezaji huu ni wa takribani sh 52 bilioni! Karibu Azamtv karibu tena TIDO luningani.
 
Tatizo naloliona Azam Tv ni kwamba hawatakuwa wakiweka mezani mada ambazo jamii inataka kuzisikia, mfano matukio ya mwaka huu kama mambo ya katiba pendekezwa, uchaguzi mkuu, daftari la kupigia kura n.k, tatizo lao litakuwa ni kuleta studio wadau wa pro sisiemu badala ya neutrality. Nihisivyo mimi, Azam grp kuna kau-sisiemu.
Ambaye atabisha na kudai nimeleta siasa humu, GO AND EAT A D***!

Na pia sidhani kama watakua huru kivile kwa maana bado pia kuna udini ambapo itawabana waandishi au waandaaji wa vipindi
 
Rais Kikwete leo asubuhi ameifungua rasmi studio ya kisasa kabisa ya Azamtv. Akihojiwa na Tido Mhando ambaye ni naibu CEO wa Azamtv, Rais amempongeza sana Bakharesa kwa uwekezaji huo mkubwa kabisa hapa East Africa. Uwekezaji huu ni wa takribani sh 52 bilioni! Karibu Azamtv karibu tena TIDO luningani.

Tido nae afanye mpango ajiajiri.
 
Kuna ifisi ya Hali ya Hewa, Ubungo plaza. Ni hij*bu tu ofsini. Shida nchi hi

Nyie watu mna chuki za hatari, mlivyojazana ofisi za uma hamjaridhika tuu? Hijabu ndo zinataka kukupa vidonda vya tumbo?
 
Na pia sidhani kama watakua huru kivile kwa maana bado pia kuna udini ambapo itawabana waandishi au waandaaji wa vipindi


Nyie makafiri si dini yenu haina mipaka...Ni kanyaga twende.
 
Tatizo lako kubwa ni malezi uliyoyapata kutoka kwa majirani, maana mama alikuwa bize kukutafutie kula. Jee, baba pia humjuwi au ndiyo anashinda na kukesha vilabuni?

Mama siku hizi umehamia kwenye matusi
 
Wagalatia bhanah sijui walitaka kadinal pengo ndo awe meneja wa azam ndo waridhike, hivi mengi kaajiri waislaam wangapi pale? Sbb qualification ya kuajiriwa ipp media ni uwe mchaga tena mkristo
 
Nampongeza sana kwa kweli kwa huo uwekezaji.
Ila nasikia katika kuajiri kuna ka ukweli kuwa eti kama wewe sio Timu Barakashia ama sio Timu hijabu hupati kazi.
Nasikia wale wote wauuza ICE CREAM kwenye vitoroli wote ni Timu Barakashia. Nitaanza utafiti wangu kabla ya kununua nitakuwa namuuliza muuzaji jina lake, halafu nameza, nikifika pembeni kidogo naandika kwenye kitafutari changu cha mistari mikubwa na midogo.
Nasikia kwa upande wa TIDO MHANDO ilikuwa haina jinsi, japo nasikia kulikuwa na ubishi sana, wenzetu wengi walipinga MGALATIA kupewa hiyo nafasi. Lakini mauwezo yake ndo ikabidi wamuweke, baada ya kufanya vizuri BBC, TBC MCL. Kiukweli jamaa ana uwezo. Nasikia SALIM KIKEKE akiondoka BBC atakuja kuchukua nafasi hiyo.
ile biashara ya familia mtu wa kuajiri ni uamuzi binafsi,ulishawahi ona mkristo kaajiriwa world vision,tcrs?jiulize kwanza wakristo wana vyuo vikuu vingapi ukilinganisha na waislamu hapa tanzania kama kweli unataka haki
 
Nampongeza sana kwa kweli kwa huo uwekezaji.
Ila nasikia katika kuajiri kuna ka ukweli kuwa eti kama wewe sio Timu Barakashia ama sio Timu hijabu hupati kazi.
Nasikia wale wote wauuza ICE CREAM kwenye vitoroli wote ni Timu Barakashia. Nitaanza utafiti wangu kabla ya kununua nitakuwa namuuliza muuzaji jina lake, halafu nameza, nikifika pembeni kidogo naandika kwenye kitafutari changu cha mistari mikubwa na midogo.
Nasikia kwa upande wa TIDO MHANDO ilikuwa haina jinsi, japo nasikia kulikuwa na ubishi sana, wenzetu wengi walipinga MGALATIA kupewa hiyo nafasi. Lakini mauwezo yake ndo ikabidi wamuweke, baada ya kufanya vizuri BBC, TBC MCL. Kiukweli jamaa ana uwezo. Nasikia SALIM KIKEKE akiondoka BBC atakuja kuchukua nafasi hiyo.

Mtu hapat kaz kwa kigezo cha dini bali kwa uwezo wake wa kufanya kazi,uloyaandika hapa ni "naskia,naskia" huna uhakika wowote.Tido uwezo anao hilo linajulikana
 
Mshana wa TII BII SII anachemka,nae angekua muislam angehukumiwa kw dini yake,ila sasa hivi hasemwi hapa,but inasemwa TII BII SIII TU
 
Back
Top Bottom