Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Tunaomba ajira ziwe kwa madhehebu yote

Ila Waache Udini Wao Wa 95%.

Wakuu fungueni vituo vyenu sio kuanza kumpangia mtu mali yake afanye vipi, wakati yule ni mfanyabiashara anajua nini anachofanya.
Ukiangalia makampuni yake yote hata yale yaliyokua Africa mashariki wakurugenzi watendaji karibia wote ni wanaenda KANISANI.
 
Sasa Mimi Nimesema Ili Ku Declare Interest. Habari Ndiyo Na Kama Unaumia Sana au Kimekuuma Tafuta Dawa Ya Kuulia Panya UFE.

Kiazi kama wewe upigiwe Simu na Rais Kagame au Museveni wakati hata kuandika tu hujui unachanganya herufi ndogo na kubwa? Lakini si sishangai maana siku hizi ma Rais wapo wengi sana ukianzia kwa Rais wa Manzese Madee, Rais wa Mateja sasa wewe inawezekana ukapigiwa na Rais wa machizi!
 
Hahahahaha Siku zote nilikua nakusaka we we ni nani hasa! Ule Uzi wako wa Mwananchi Vs Tiss ukazidi dhihirisha machale yangu! Hiki ulichokiandika plus ID hii yenye tafsiri ya KILAINISHI..hakika ni we we! Halaf unavojua kuikana JF mbele za watu as if huijui..haya bwana!

Super Handsome Acha Hizo Bhana Hebu Uchune Na Potezea Basi! Ya Kule Ya Kule Na Ya Humu Ni Ya Humu Na Isitoshe Tupo Wengi Humu.
 
Kiazi kama wewe upigiwe Simu na Rais Kagame au Museveni wakati hata kuandika tu hujui unachanganya herufi ndogo na kubwa? Lakini si sishangai maana siku hizi ma Rais wapo wengi sana ukianzia kwa Rais wa Manzese Madee, Rais wa Mateja sasa wewe inawezekana ukapigiwa na Rais wa machizi!

Stata Mzuka Shikamoo!
 
Kupata Chanel za dini ya kiislam na kikristo kwa AzamTV bonyeza menu ikitokea haraka bonyeza kitufe cha kuongeza sauti. Channel hizo zipo kwenye other channels. Hapo utapata Imanitv,peacetv,Qur'an na suunatv. Zakikristo utapata Emmanuel, prism Africa na... Kwahiyo wale wanaochafua uzi hawana jipya. Channel hizo zipo siku nyingi tu. Kama huzipati scan king'amuzi chako.
 
Kupata Chanel za dini ya kiislam na kikristo kwa AzamTV bonyeza menu ikitokea haraka bonyeza kitufe cha kuongeza sauti. Channel hizo zipo kwenye other channels. Hapo utapata Imanitv,peacetv,Qur'an na suunatv. Zakikristo utapata Emmanuel, prism Africa na... Kwahiyo wale wanaochafua uzi hawana jipya. Channel hizo zipo siku nyingi tu. Kama huzipati scan king'amuzi chako.

kwa wanaolazimisha sio lazima kuangalia azam ikiwa vingamuzi vipo vingi ni ujinga kula chakula usichopenda kwa jasho lako
 
Naomba Tido Mhando amuajiri Jenerali Ulimwengu halafu wampe kipindi maalum cha mahojiano na watu maarufu,wanasiasa na viongozi kinachofanana na kile cha HARD TALK kinachoandaliwa na Steven Sucker, cha BBC.Ulimwengu anaweza na haogopi kuuliza maswali magumu.
 
Sio dini tu matajiri wanapenda kuajiri watu waaminifu na wakujituma
 
Back
Top Bottom