Kwa wadau mbalimbali , sijafanya research ndio sababu nikasema kama. nawe ya wakenya yametokea wapi? Hiyo tena ni topic nyingine. Issue ni kufuata vigezo na si dini kwani atahari yake ni kubwa kuliko unavyofikiri.Hili umelitoa wapi? au kuzunguka kote huko ulikua unataka kuongeela hilo? Nadhani ungejiongeza kidogo kwenye ufahamu wa wafanya biashara. Wao kipaumbele chao kikubwa ni faida hayo dini hayawahusu. Kuna watu walikua wnasema kua Bakhresa haweza kukopa mikopo yenye riba kwa sababu imani yake hairuhusu kula wala kutoa riba, na wengine wkaja na tuhuma kama zako. Wabongo tuko busy tunasema kua anaajili kwa kigezo cha dini wakati huo huo watu wanatoka kenya wanakuja kuchukua ajira kiulani. Kama huamini nenda uone idadi ya wakenya waliopo na uliza ni dini gani, sisi tuko busy na maneneo wenzetu wanatoka mbali wanakuja kuchangamkia fursa.
Azam TV wamezindua listudio likuuuubwa la kisasa - kushinda kituo chochote kile katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati,na inaonekana wamejipanga maana personnel yao unaona professionals watupu.
According to CEO Tido Mhando,wanakusudia kuifanya Azam TV kuwa BBC ya Tanzania, na pia Al-Jazeera na CNN ya Afrika Mashariki na Kati.
Thank you Azam TV,bila shaka mtatuponya na machengachenga ya TBC na watangazaji wao wasiojua lugha ya Taifa.
Naweza kutabiri pia Mengi anaweza kuanzisha fujo flan na hawa jamaa na baadae tusishangae akisema anatishiwa kuuawa.
Pia Rais Kikwete atakuwa anajisikia aibu kumfukuza Tido TBC,sasa utaalam umehamia Azam TV na TBC inakufa,kweli aliyepewa kapewa tu huwezi kumzibia baraka zake kwa Mungu.
WELCOME Azam TV - a mere concept 2 yrs ago and now a media company with 250 employees today -FORMIDABLE LEAP!
mkuu citizen unaingalia kupitia kisambuzi gani? mara ya mwisho kuiona ilikuwa lini?
Azam TV wamezindua listudio likuuuubwa la kisasa - kushinda kituo chochote kile katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati,na inaonekana wamejipanga maana personnel yao unaona professionals watupu.
According to CEO Tido Mhando,wanakusudia kuifanya Azam TV kuwa BBC ya Tanzania, na pia Al-Jazeera na CNN ya Afrika Mashariki na Kati.
Thank you Azam TV,bila shaka mtatuponya na machengachenga ya TBC na watangazaji wao wasiojua lugha ya Taifa.
Naweza kutabiri pia Mengi anaweza kuanzisha fujo flan na hawa jamaa na baadae tusishangae akisema anatishiwa kuuawa.
Pia Rais Kikwete atakuwa anajisikia aibu kumfukuza Tido TBC,sasa utaalam umehamia Azam TV na TBC inakufa,kweli aliyepewa kapewa tu huwezi kumzibia baraka zake kwa Mungu.
WELCOME Azam TV - a mere concept 2 yrs ago and now a media company with 250 employees today -FORMIDABLE LEAP!
Bado anachangamoto ya ziada kufika alipo ITV kwa kua kwanza Azam TV wao wanapatikana katika vizimbuzi vyao tu tofauti na hao ITV wanaopatikana karibia kila kizimbuzi cha hapa nchini
Nimependa studio zao zipo kisasa zaidi hongeleni Azam media
Najua Mzee Tido Mhando yuko pale we subiri uone. Tido ni mbunifu sana. Anajua anachokifanya. BBC Swahili ladha hii unayoiona ni Ubunifu wake.Jamaa namkubali sana