Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,503
- 42,575
Umeandika vizuri sana kasoro hapo ulipomwingiza Kikwete.
Huo ni ujuha wa hali ya juu kutaka kutia siasa katika mambo kama haya.
Kikwete kawakaa sana rohoni, hakiwapiti mpaka mumtaje! Mnanshangaza!
Kila atajwapo JK lazima uje mbio mbio Una nini naye?