Uzi wa vyakula tu

Kilimanjaro lodge dodomaView attachment 1771740
IMG20200914211848.jpg
 
Ni something like nyama nyama ama mboga mboga? sorry
Aina ya tambi. Kama spaghetti.
Upishi wake unachemsha macaroni yako mpk yawive.

Then unapika paste/curry kama ya kuku au nyama au seafood lkn ziwe vipande vdg vdg. Yaani kama nyama iwe ya kusaga au kama kuku awe amechambuliwa mdg mdg.

Then unamix na macaroni yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom