Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,271
- 11,769
Mboga saba
๐๐Mme naona huna masihara kabisa linapokuja suala la msosi!๐๐๐
Mme naogopa kuchekwa na watu vile utakuwa unabugia msosi kama mashindano vile!๐๐๐๐๐
Alafu siku unitoe out tukale wote wifey au unaonaje?๐๐
Naam hii kweli mboga saba, big up sana!Mboga saba View attachment 1744191
Niliifanya sana hii tabia nikiwa mdogo! ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃNiko njianiView attachment 1740284
Leo wali mchafu tuu ndio una trendMboga saba View attachment 1744191
FutariKitu cha muhogo wa nazi na jodari. View attachment 1720266
Hapa naeza tengeza bonge la taco ๐ฎ ๐
Aaaaaaaaah!!!! Haiwezekani, naokota, naosha tena naunda supu jingine. Staki mchezo! ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
HWifey hao watu hawatuhusu wala sisi hatuwahusu ๐๐Mme naogopa kuchekwa na watu vile utakuwa unabugia msosi kama mashindano vile!๐๐๐
Taco kama ?Hapa naeza tengeza bonge la taco
Taco ๐ฎ kama za Mexico achana na zigo, mi mume jameni! ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃTaco kama ?
Mme i don't know much but i know i love you.That maybe all i need to know.HWifey hao watu hawatuhusu wala sisi hatuwahusu ๐๐
Mbona nimekuelewa chief!Taco kama za Mexico achana na zigo, mi mume jameni!
Ah, nashangaa wataka nibandika msambwanda tayari, ata giza halijaingia? ๐ ๐ ๐ ๐Mbona nimekuelewa chief!
Uliacha kuwa 'vegetarian', ni mwendo wa choma siku hizi naona? ๐Mme i don't know much but i know i love you.That may be all i need to know.