Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Daaaaaah... Hapo upate na harage zito la nazii na chai ya rangi hahahahaView attachment 1738424
Kumekuchaa
Daaaaaah... Hapo upate na harage zito la nazii na chai ya rangi hahahahaView attachment 1738424
Kumekuchaa


Hapa ukipata na supu nzito ya ng'ombe..ukashushia na Fanta orange baridi inayoelekea kuganda flani hivi..View attachment 1738424
Kumekuchaa



Utaganda utumboHapa ukipata na supu nzito ya ng'ombe..ukashushia na Fanta orange baridi inayoelekea kuganda flani hivi..![]()
kiwanja cha nyumbani hikoKumbe wanachama wenzangu wa salad for days mpo humu![]()
Usiombe mharoMaisha ndo aya aya..![]()
WATANZANIA BANA KAZ ZA UMAZINAKUPOTEZEA MUDAView attachment 1730381Wraps mixed with avocado,tomatoes,spinach salad,carrots,mayonnaise and etc,it’s yummy yummy
Aiseee zinauzwa wapi?Pumbu za nguruwe, nimezichemsha na kuzikatakata vipande. Nataka niunge rost, pilipili, carrots, nyanya, limao kwa mbali, tangawizi nk
View attachment 1730800
nimejifunza nimeshindwa piakwanini hauli kwa kutumia uma?nimejikuta nacheka maana mimi nimejifunza nimeshindwa huwa naishia kuaibika tu
![]()