Ndo lunch au kisubirishio cha lunch?
Pole chef. Si zijazo kuwa makini
Mambo yalivyokuwa sikukuu zilizopita mpaka niliji chop kidole
Itume tena, haifungukihttp://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/d1a751e5949c6bd87fd54af145f0dc48.jpg[/IMG
Karibuni
Uo mkono na mguu na poz alilikaa mbona kama mwanamkeDah pole sana kaka
Hahaha kumbe kuna mishkak ya bamia?Hamu zangu eeh View attachment 675909
Vilemutu vya kubanikaHamu zangu eeh View attachment 675909
Kibungo hichoMhhh!! Vp tenaaaa bibiye?! Au ndo.................!!
Mbona mayai ya kuku wa kienyeji hakuna hapa mkuu
Yalikuwepo pembeni. sikuyapiga picha tu. Hapo kitu kinatoka jikoniMbona mayai ya kuku wa kienyeji hakuna hapa mkuu
Pilipili na chumvi iko wapi mkuu